Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Jamani happy ni step daughter wa huyo mgiriki wadogo zake ndo point tano
Sema hivyoo aiseee mi nilikua nishakataaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani happy ni step daughter wa huyo mgiriki wadogo zake ndo point tano
Sema hivyoo aiseee mi nilikua nishakataaaaa
hahahaaaa ubongo uligoma kabisa
mi nilimuona kwenye events fulani na wadgo zake na baba ake *mama yao yaani wale watoto ndo chotara kabisa so nafkri yule mzee ndo kamlea toka yuko mdogo
Jamani happy ni step daughter wa huyo mgiriki wadogo zake ndo point tano
hapana chotara wadogo zake
ye ni mtoto wa kambo kwa yule baba
Sasa alivyojishembendua kwamba baba take ni mgiriki ili iweje? Nikashangaa point tano gani yupo kama Miss uganda wa 2014? Ukizaa na mzungu lazima mtoto atoke na makombo kidogo hamna hamna anapata ngozi kama ya obama!
Labda mgiriki mweusi hhhhhhaaaa
ram kwanini usingegombea wewe miss TZ?
Sasa alivyojishembendua kwamba baba take ni mgiriki ili iweje? Nikashangaa point tano gani yupo kama Miss uganda wa 2014? Ukizaa na mzungu lazima mtoto atoke na makombo kidogo hamna hamna anapata ngozi kama ya obama!
Binamu, mimi mwenyewe nimemsikia kwa masikio yangu na kumuona, alisema babake ni mgiriki na mama ni mtz, na wakiwa nyumbani hawaongei kiswahili ni kiinglish tu na amesoma shule za st. Sasa mie najiuliza hili jina la watimanywa ni la kigiriki au kihaya?
Binamu, mimi mwenyewe nimemsikia kwa masikio yangu na kumuona, alisema babake ni mgiriki na mama ni mtz, na wakiwa nyumbani hawaongei kiswahili ni kiinglish tu na amesoma shule za st. Sasa mie najiuliza hili jina la watimanywa ni la kigiriki au kihaya?
watu mko makini
lakini mi naona bora alivyosema hivyi hajambagua mzazi aliyemlea toka utotoni
ukute baba ake mzazi alikataa mimba au hamjui au hamhudumii
kumbe wa mwaka Jana anawakilisha mwaka huu
hivi haya mashindano yamepoteza mvuto kwangu tu,ama?
kwa mzazi aliyekulea kwa mapenzi yote, huwezi kumuita baba/ mama wa kambo mbele ya kadamnasi. baba si lazima awe biological, ni yule aliyekulea. wanaume wengi wanaweza kuzalisha lakini si wanaume wote wanaweza kuwa babaHhhhhjhaaa yaan nimecheka eti watimanywa ni jina la kigiriki au kihayaaa si angesema tu kua yeye ni mtoto wa Kambo wa mgirikii
kwa mzazi aliyekulea kwa mapenzi yote, huwezi kumuita baba/ mama wa kambo mbele ya kadamnasi. baba si lazima awe biological, ni yule aliyekulea. wanaume wengi wanaweza kuzalisha lakini si wanaume wote wanaweza kuwa baba
Aliongoza (katika nchi kama 150 duniani) somo la accounting, mitihani ya IGCSE.Ila huyu sister yupo smart sana na ni mwerevu ,sio mtu wa maubuyu kama warumi.
Last year kwenye uzi wa miss tz, kuna watu walisema baba ake mzazi Happy alifariki Happy akiwa na kama miaka 2 hivi. Ndo baadaye mama ake akaja kuolewa na huyo mgiriki
Happy ni chotara tangu lini???
Jamani!huo ni mgao aiu kitu gani?hadi leo haujarudi???
Pole sana
sasa kama kweli hajui kiswa asiseme? usifiri kila mtanzania amekulia mtaani kwenu...eboo!!