Miss Tanzania avuliwa kuiwakilisha Tanzania kwenye Miss World kutokana na utovu wa Nidhamu

hapa inatakiwa aite press atoe ushuhuda kwa nini kavuliwa taji hilo hapo ndiyo tutaona madudu ya waandaaji
 
Juliana Rugumisa(Mwenye nguo ya rangi ya chungwa) 🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
 
Itakuwa kawagomea kutoa tu.
Haiwezekani avuliwe bila sababu kuwekwa wazi.

Jpm. Wanyonge wanaonewa sasa. Awamu hii[emoji2089][emoji2089]
 
Na hapo kwenye tabia zisizofaa itakua ni matumizi mabaya ya pesa za umma. Nilikua namsikia clouds fm kwenye kipindi cha njia panda wakiomba michango ya hali na mali ili kuwasaidia watoto wenye usonji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…