Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
quality FBila chenga!? Mungu anakuona
Yaan bora usikilize kama radio[emoji49] [emoji49]quality F
aaaaaah nimehamisha channel naangalia mpira sasa "barcelona vs Granada"Yaan bora usikilize kama radio[emoji49] [emoji49]
Mara giza,
Mara sura hazionekani.
Acheni wivu wenu nyie wadada.Make up mbaya sana.......mavazi pia big NO......
Sijui nini kinaendelea hapa,,,,,,
Acheni wivu wenu nyie wadada.
Kuna ukweli but acha nipige kiiimmyaaHatuna wivu......tunasema ukweli......
Watu wamechukiza sana.....
Bukoba ni wakati wa kuwajengea wale wenzenu wa Kagera nyumba jamani...lol....! One thing at a time.Bora ingepelekwa Bukoba najua wahaya wenzangu wangeionyesha dunia nn sisi ni kina nani.
Mc wa kike mmmmhMCs sura ngumu kama ngozi ya ugoko
Watu wangapi. Umeongea nao?....
Watu wamechukiza sana.....
Mi naumia macho balaa bora nikalale tu.Star TV nao kwenye live hawako vzuri Ku colour hapa wangeonyesha ITV au Azam wako vzuri Leo bila kutumia king'amuzi chenye HD huwezi ona vzuri
Watu wa mwanza hawajui kuvaa hata kidgo simnamuona sauda mwilima !!!anawawakilishaHatuna wivu......tunasema ukweli......
Watu wamechukiza sana.....