Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Ma-MC hawa wanalipwa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wangapi. Umeongea nao?
Watu wa mwanza hawajui kuvaa hata kidgo simnamuona sauda mwilima !!!anawawakilisha
Halafu star tv na wenyew naonaga wanang'ang'ania sana kuonesha hzi libe shows wakat huwa hawawez kitu n miyeyusho tu,enzi za itv mtu unavutiwa tu pale unavyomuona godwin au millard anatangaza ,kila kitu clear...mm nimeondka niko kitandani ...
Wametia aibu aisee Mpaka sasa shindano halijaanza ludenga na kampuni yake wajichunguze, star TV wenyewe hzo picha aibu tupu.Mkuu usiwalaumu wasukuma, Sasa hivi mwanza vitu vingi vinaendeshwa na makabila mageni, na hii event ni ya kitaifa meaning kamati ya maandalizi imejumuisha watu kutoka pande mbalimbali.Mwanza ni kupewa heshima tu
Hahaaaaaaa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]MCs sura ngumu kama ngozi ya ugoko
Ninakuelewa ndio maana nimekujibu.Tulia.....soma maandishi vizuri....... elewa.....
Ndio ujibu........
Ndio wameanzaClouds washaanza kuonyesha wana jf
Upuuzi mtupu. Chichiemu na shindano la Miss Tanzania wapi na wapi.Hujamjua huyo ni chichiemu damu
Tehetehe tangu Magufuli awe raisi siangalii tvAisee hii kitu inaboa mpaka kinyaa kuanzia MCS, setting yaani mbona mmeamua kutudhalilisha sisi WASUKUMA jamanii. Mbona mnataka tuongee ovyo siku hii muhimu kwa taifa letu hili hatutalivumilia. KaribuNi kekI wasukuma wenzangu.
Hawa watangazaji kiboko penye r wanaweka l mi watu waongeaji HVO hunichefua aiseeDah leo naona vioja hapa Startv... mtu anaojiwa anasema ameji design mwenyewe haha..
Mara mc anasema shindano live toka lock city Mwanza wadau au Tv yngu duh..
Yani rangi mbovu hyo ila usilale tuone vtuko vya leoMi naumia macho balaa bora nikalale tu.
Hivi hiyo salon ilikuwaje wamfanye mwenzao kama kinyago? Naona huyu mdada anafana na FloraHatuna wivu......tunasema ukweli......
Watu wamechukiza sana.....