Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

Wapi cool chataaaaaa watu wote tuseme oyooooooo
Jamani kwa uimbaji huo sidhani kama atapata mdhamini
 
Pole shosti hzi TVs sijui zinapigia CMU hyo event maana quality yake
hawa startv mitambo yao mibovu sana yaan kwann wasingewapa azam yaan azam na itv wanaonesha vizur sana ,,mfano tu ukiwa waangalia bunge azamtv ..tbc..startv azam unakuta wanaonesha vzur sana ila hawa wengne cjui ni chama kinawacost
 
hawajajipanga hawa na shindano lao akipatikana mshindi lazma atakuwa kapangwa
 

Ukiweka update uweke na muda.

Pia labda clouds hawakuonyesha sababu pesa isingeingia waliyotaka au huko palipwaya kitu kufikia standards zao.

Ila kuna mtu kaandika humu kuwa inaboa au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…