Miss tz vodacom inaendelea, star tv live

Miss tz vodacom inaendelea, star tv live

Hawa mamiss kila mtu anasema hobby yake ni kuogelea...
Duh!!
 
dah..jirani ana msiba we unafanya party!...wazenji msitumie line za voda,maana wao ndio wanampa hela anko lundenga...na kn mtu toka wizarani/serikalini basi hy shujaa
sio wanzanzibar bali watanzania wote wasitumie vodacom...maana waliopoteza maisha sio wanzanzibari ni watanzania....tena wengi kutoka bara ambako meli ilianzania
 
hawa mamiss wengi wanajifanya wanapenda kusoma novel, wakati soko lenyewe la vitabu linayumba
 
kuna kiumbe kinaimba hapa ni kama bongostar search vile,bongo bandra anaingia.
 
Hakikisha! Unatambua wewe ni Nani katika Nchi hii haijalishi Lundenga ameanda kwa Ushirikiano na VODA au na Nani,Viongozi legelege huruhusu mambo mengi legelege Lundenga kosa lake ni nini kosa ni La Viongozi wanaoshughulikia Mamlaka ya Meli kuruhusu hata Meli Vimeo kuendelea kutoa huduma kwa Urasimu! Haka ka Nchi katabadilika kwa Kutoa vilaza kwenye Uongozi na kuingiza wenye Kujituma! So Lundenga endelea kujiingizia siku Men! Acha tuendelee kujifunza na Kuundiwa TUME kila kukicha!
 
Endeleeni kunineletea habari mi nipo Igunga na shemeji yenu hapa tunakula bia kwa kwenda mbele.
 
kitendo cha kuendelea kuwa na mashindano ya vodacom miss TZ,ni wazi kuwa Wao si wamoja katika muungano huu,Taifa linakabliwa na simanzi ya ajari ya Meri wakati wengine wanashindana nani Ana SURA NZURI.Lundenga wewe Ni Dini gani.
kuna watu ambao ndugu na jamaa zao hufariki kwa ajali za mabasi lakini huwa zinatumwa salamu za rambirambi na shughuli huendelea kama kawaida, je wao wanajisikiaje? ndugu na jamaa zao waliofariki hawastahili kuombolezwa na taifa? kwa kuwa ajali ya aina ni nadra kutokea na imesababisha maisha ya watu wengi kupotea inastahili maombolezo tofauti, lakini kuhusu shughuli zipi zisimame kwa sababu ya msiba huu hapo itatokana na mtazamo wa mtu binafsi au taasisi husika hususan jinsi wanavyochukulia uzito wa shughul yao.
 
Endeleeni kunineletea habari mi nipo Igunga na shemeji yenu hapa tunakula bia kwa kwenda mbele.
Mwenyewe nimetoka huko jion hii!
Vip maendeleo huko..jimbo letu wanaCCM tunalishikilia kama kawaida?
 
Hivi mechi ya yanga ilifanyika?
kitendo cha kuendelea kuwa na mashindano ya vodacom miss TZ,ni wazi kuwa Wao si wamoja katika muungano huu,Taifa linakabliwa na simanzi ya ajari ya Meri wakati wengine wanashindana nani Ana SURA NZURI.Lundenga wewe Ni Dini gani.
<br />
<br />
 
Huyu sharobaro naona ni full miuno!
Kawashinda hata wale mamiss!
 
Sikuelewa! Mnatak kuahirisha shughuri za watu kwa kuna lundenga ni dini fulani?
LUNDENGA hana dini ni kafiri,cha ajabu siku akifariki utashangaa sheikh wa mkoa anaongoza swala ya jeneza!uislam unaharamisha matendo ya kuwaweka wanawake uchi lakini lundenga kaziba masikio na macho
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom