E bhana eh... halafu sijamsikia kabisa miaka ya hivi karibuni! mara yangu ya mwisho kumsikia ni wakati anataka kuolewa... na wala sifahamu ndoa yenyewe kama ilifungwa, au lah!Haha hata sikuwaza kwenye Gari. Nargis bwana wanadai wenyewe ni miss alofulia kuliko wote kwa sasa kiasi kwamba yuko tandale uzuri full uswazi
Cra'p...walisema kelele nyingi ni bure hamna atae tofautisho akili punguani.......na timamu ni yupi nakupa pass kaka!!!!!!!
Haha hata sikuwaza kwenye Gari. Nargis bwana wanadai wenyewe ni miss alofulia kuliko wote kwa sasa kiasi kwamba yuko tandale uzuri full uswazi
Cra'p...
Never stop praying that stupidity doesn't turn into Ebola otherwise you'll be dead in a minute.kulemewa na hoja.just become shit.ty....well done
E bhana eh... halafu sijamsikia kabisa miaka ya hivi karibuni! mara yangu ya mwisho kumsikia ni wakati anataka kuolewa... na wala sifahamu ndoa yenyewe kama ilifungwa, au lah!
hili la Nargis linahitaji coverage nzuri si hivi mnapita juu juu
Haha data zake zilimwagwa wanadai ameolewa na mlala hoi. Maisha anaishi ya average
Never stop praying that stupidity doesn't turn into Ebola otherwise you'll be dead in a minute.
duh... basi zilinipita hizo!Haha data zake zilimwagwa wanadai ameolewa na mlala hoi. Maisha anaishi ya average
Si aliolewa na kipanya?
duh... basi zilinipita hizo!
Na KP walishamwagana kitambo... waliishia kupeana stress tuSi aliolewa na kipanya?
Nancy, Millen, Hoyce; wanajua kutumia fursa bila kumsahau Irene Kiwiya... Faraja ni habari nyingine ile... kichwa chake kipo njema sana yule demu.Kwa mange walitiririka Sana hadi mchepuko wake huko crdb anakofanya km kazi mjini kaazi. Umiss bila malengo unaumbuka ila ukiwa na akili unafika mbali MF. Nancy , faraja na millen magese
Nancy, Millen, Hoyce; wanajua kutumia fursa bila kumsahau Irene Kiwiya... Faraja ni habari nyingine ile... kichwa chake kipo njema sana yule demu.
Nimeangalia profile za hawa kamiss wengi wao ni wasomi ndo maana hata utirio unashuka na kazi wamepiga. Happy amefreeze masomo.
mi labda niko tofauti...mbona kama sioni wanachofanya?...labda hoyce kidogo lakini wengine sijajua nahitaji kueleweshwa.Nancy, Millen, Hoyce; wanajua kutumia fursa bila kumsahau Irene Kiwiya... Faraja ni habari nyingine ile... kichwa chake kipo njema sana yule demu.
true.si umeona pale kwenye ile hall ambayo wanachangia mada?lazima uwe na kitu upstairs ndo uweze changia.ila huyu wa sasa alimrithi sitti ndo naona afadhari happy. simjui sana lakini nahisi hivyo.mungu nisamehe kama nimekosea.
Kwa mange walitiririka Sana hadi mchepuko wake huko crdb anakofanya km kazi mjini kaazi. Umiss bila malengo unaumbuka ila ukiwa na akili unafika mbali MF. Nancy , faraja na millen magese
mi labda niko tofauti...mbona kama sioni wanachofanya?...labda hoyce kidogo lakini wengine sijajua nahitaji kueleweshwa.