Missing you

Missing you

hahahaha!sasa jamani mkibishana hapa mambo yenu na HUKO PI-EMU ni wapi pazuri kwa mahusiano yenu?
...........kama mnaona sawa ENDELEENI!....sikuongea kwa ubaya!ofutopic zenu ni PRIVATE ZAIDI,ACCORDING TO ME!

come back bwana!usije ukaondoka milele nikakosa hela za MICHANGO YA HARUSI😀

wat r u insinyuating?
hebu naomba nifafanulie hizi red.kwa sababu huu uchumba wetu umekuwa public toka tunaomba kura kwa watu 4 hapahapa Jf.Na nategemea na ndoa tutaitangaza hapahapa.Na matesha akija picha itawekwa hapahapa jeiefu.
Sasa ukisema private zaidi mpwa tena hapa unaniacha.
Anyway nitaufanyia kazi ushauri wako wa kufunga mwaka.
SENKI YU VERI MACHI.
 
wat r u insinyuating?
hebu naomba nifafanulie hizi red.kwa sababu huu uchumba wetu umekuwa public toka tunaomba kura kwa watu 4 hapahapa Jf.Na nategemea na ndoa tutaitangaza hapahapa.Na matesha akija picha itawekwa hapahapa jeiefu.
Sasa ukisema private zaidi mpwa tena hapa unaniacha.
Anyway nitaufanyia kazi ushauri wako wa kufunga mwaka.
SENKI YU VERI MACHI.


Nimekumiss shemeji yangu!
 
wat r u insinyuating?
hebu naomba nifafanulie hizi red.kwa sababu huu uchumba wetu umekuwa public toka tunaomba kura kwa watu 4 hapahapa Jf.Na nategemea na ndoa tutaitangaza hapahapa.Na matesha akija picha itawekwa hapahapa jeiefu.
Sasa ukisema private zaidi mpwa tena hapa unaniacha.
Anyway nitaufanyia kazi ushauri wako wa kufunga mwaka.
SENKI YU VERI MACHI.

hahaha!
mi thijui bwana
enewei,NIMEKUPIGA NA SENKSI kwa afya ya mumeo
 
wewe ntaku-PM nimekumiss yangu.
Naanza kufanyia kazi ushauri wa Geoff

hehehehen huu mwaka naona unaisha vizuri, unajua inabidi tudetermine kwenye hili jukwaawaliomaliza mwaka vizuri

Mf Xpin na ZD ni wachumba tayari kama hivi,

Fidel kaacha kujiexpress ila wanafunzi wake bado,

....
 
Jamani jamani! ni mimi tu ndio simisiwi? LOL!

hebu mwambie umemis uone reponsi yake nawee heee!!! bichwa gumu tu!! hao shemejiz wamwmwambia wamemmis nayeye kawapa jib taaaaaamu!!!
lalama hapo kunakucha
 
Back
Top Bottom