Missing you

Hahaha! Afu wewe nawe! Leo mwaka tunauaga kinyemela siyo?
kama kawaida kwa ''MJOMBA''
nimeshapiga simu CHAWOTE nataka tukamle kuku wa kienyeji pale!
tutaanzia kwa mjomba
 
hebu mwambie umemis uone reponsi yake nawee heee!!! Bichwa gumu tu!! Hao shemejiz wamwmwambia wamemmis nayeye kawapa jib taaaaaamu!!!
Lalama hapo kunakucha

i miss you my mchumba ziondaughter!
 
kama kawaida kwa ''MJOMBA''
nimeshapiga simu CHAWOTE nataka tukamle kuku wa kienyeji pale!
tutaanzia kwa mjomba

Tatizo mwenyeji wetu Kaizer yuko bize sana bana! Haelewekieleweki, sijui ana program gani huyu!
 
Tatizo mwenyeji wetu Kaizer yuko bize sana bana! Haelewekieleweki, sijui ana program gani huyu!
the whole project TO BE ENGINEERED BY ME!..............

KAIZER WILL JOIN US LATER......tukiwa chawote
 
hebu mwambie umemis uone reponsi yake nawee heee!!! bichwa gumu tu!! hao shemejiz wamwmwambia wamemmis nayeye kawapa jib taaaaaamu!!!
lalama hapo kunakucha

malizia basi na wewe jamani......


Alrite, kumbe B umoeeh..ntakualika kitchen party moja huku uswazi....
 
And who will balance the sheets!
..........!πŸ˜€πŸ˜€
halima will be taking the LEAD!
assisted by matron and PRISCA

chawote:....well ANNAH(kwa kutaja hili jina utanikumbuka na senksi,manake leo umenisahau kweli)
 
..........!πŸ˜€πŸ˜€
halima will be taking the LEAD!
assisted by matron and PRISCA

chawote:....well ANNAH(kwa kutaja hili jina utanikumbuka na senksi,manake leo umenisahau kweli)

Tayari, kathibitishe.
 
 
wapwa jioni njema na heri ya mwaka mpya. naenda kujiandaaa na mkesha kwaya yetu ndo nguzo!!!!! Kaizer meet you there!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…