Mission iliyopo kwa sasa ni KGB kumalizana na Zelensky


Kwa kiswahili tunaita bwege mtozeni aka fake attackers wenye interest wako mile nyingi sana attackers inawezekana hata hawakujua profile ya target, focus yao ni 250000 wakale Bata na kishow off on social media.

The same attacker wangejua profile ya target wasingekwenda kufanya hiyo kazi.
Wamefanyishwa kazi kuuubwa kwa malipo madogo huku usalama wao hakuna aliyejali, it's Russians for russians we don't careHukumu kali inaweza kuwakuta main plotters na sio hawa madogo, hapo ni mwendo wa crackdown na filtration kuanzia kwa wale dili kampanda dili mpaka main characters.
 
Mkuu we ni nani? Unasema hivi we kama nani!?

"Za ndani kabisa" unatuchukuliaje wabongo wenzio.😁😁😁
 
Anadhan wenzie wamelala
 
Putin kawa mandonga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…