Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Watu walifanya makosa sana kumzomea binti.......
Aisifiaye Mvua jamani. Inawezekana binti alishapelekeshwa ALL NIGHT LONG.
Kutoka siku hiyo akajua Mkwere ni Mchapa fiMbo......ahhaaa samahani mchapa kazi safi sana.
Sasa mlitaka amsifie Slaa? Hata Mzee Kenyantta alijisifu "Wanaosema mie Mzee, muulizeni Mama Ngina".
du hii kali tunaomba clip jamani tuijadili kama ile ya kifaduro........
as of binti kuwa ameshakanyagwa that may be true...lakini kama mtu kusimama juani tu anaanguka..basi tumuombee Mungu yasijemtokea ya Sani Abacha.najuwa ikitokea wata cover up....mnajuwa pia inawezekana ikawa PR move...maana nijuavyo haya maswali huwa wanapewa kabla....sasa inawezekana walidhani angejibu angepigiwa makofi...na wangekuwa tayari wamepata boost...but that is message sent ...maana watu waliokuwa wakiangalia ni wengi sana......