Ng'azagala
JF-Expert Member
- Jun 7, 2008
- 1,288
- 222
swali lingekuwa ataje sifa za Rais anayefaa kuongoza, na majibu yake ingekuwa kutoa sifa tu na si kutaja majina. hii ingekuwa ni katika kuelimisha umma na mwishowe mtu achague amtakaye. nafikiri ilikuwa kosa kutaja Jina
lakini General Knowlege kwa vijana wengi ni tatizo kubwa, tumeona katika mashindano mbalimbali mf. yale ya kushindanisha vijana wa vyuoni nk yanayodhaminiwa na zain kwa nchi za east africa. Jamii haijawa na mwelekeo huo wa kuwafunza vijana
lakini General Knowlege kwa vijana wengi ni tatizo kubwa, tumeona katika mashindano mbalimbali mf. yale ya kushindanisha vijana wa vyuoni nk yanayodhaminiwa na zain kwa nchi za east africa. Jamii haijawa na mwelekeo huo wa kuwafunza vijana