Misururu ya magari kwenye misafara ya ziara za viongozi wetu ni ushamba wa kizamani sana!

Misururu ya magari kwenye misafara ya ziara za viongozi wetu ni ushamba wa kizamani sana!

Hujui unachoongelea! Usalama wa kiongozi gani uko mashakani?

Baba wa Taifa alikuwa ame-limit msafara wake kwa magari matano, na hakuna kilichomtokea, pamoja na kwamba miaka ile, wazungu walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba kumshughulikia. Ni ushamba, ujinga, ubinafsi wa viongozi kuwa na magari lundo, tena magari ya bei kubwa sana, na matumizi makubwa sana, huku wananchi wakilia njaa, na vitu vya msingi kama bima ya afya kwa watoto, umeme, maisha magumu na matatizo kibao! Afu eti unatetea???
Kwa ulichoandika sijui kama unamjua huyo baba wa taifa
 
Wakienda ulaya wanaona aibu maana misafara hata gari 5 haifiki
Unamkumbuka waziri mkuu wa Sweden(?) aliyekutana na mnaijeria(?) akitembea kwenda kazini?

Viongozi wa huku, eti usalama! Labda waogope wale wanaoshea nao wapenzi!
 
Hujui unachoongelea! Usalama wa kiongozi gani uko mashakani?

Baba wa Taifa alikuwa ame-limit msafara wake kwa magari matano, na hakuna kilichomtokea, pamoja na kwamba miaka ile, wazungu walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba kumshughulikia. Ni ushamba, ujinga, ubinafsi wa viongozi kuwa na magari lundo, tena magari ya bei kubwa sana, na matumizi makubwa sana, huku wananchi wakilia njaa, na vitu vya msingi kama bima ya afya kwa watoto, umeme, maisha magumu na matatizo kibao! Afu eti unatetea???
mashaka ni yako pekeyako 🐒

unaanza kumzungumzia kingozi na aina ya uongozi wake tena 🤣

unasahau kila zama na kitabu chake 🐒

ushamba utabaki nao wewe tu but waliokabidhiwa dhamana ya usalama wa viongozi wa kitaifa hawatacheka na kima wala kubabaika na wenye mindset za kuiga kama zako 🐒
Acha uvivu, Fanya kazi kwa bidii uishi maisha mazuri....

kutwa kulalama umeme hamna kwenu na upo online 24/7🤣

Politics is all about interests not as your wishes 🐒

R I P Laigwanan comrade ENL
 
Magazine madogo yangekuwa machache wengine wangepanda bus maalum.
 
Kwangu mimi naona viongozi bado wanaogopa kushambuliwa. Wanawaza kwamba, endapo watatumia magari mengi, labda wanadhani kuwa ndilo suluhisho la kutoshambuliwa kirahisi. Unajua kwanini? Wanawaza kwamba, kutumia magari mengi kwenye msafala, ni kumchanganya mshambuliaji asijue ni lipi gari la kiongozi husika. Ndiyo mawazo yao.
Kuna aliyewahi kuwa raisi wa uruguay anaitwa Jose Mujica
Huyu kiongozi hakuwa na mambo.mengi kabisa.

Hawa maviongozi wanaolindwa na walinzi wengi sio bure kuna kitu wanafanya hakipo sawa ndio maana wanajihami kama hivyo.
 
Ukiyasikia Machadema yanavyolalamika kuhusu misafara ya Viongozi wa Kuu wa Kitaifa hapa Tanzania unaweza dhani Tanzania tunafanyia kitu Cha ajabu sana.

Kwa misafara huu wa Waziri wa Michezo wa Kenya ingekuwa ni Tanzania wangemwaga mapovu ya kujaza bwawa la Mindu 😂😂👇👇

View: https://youtu.be/WJGc-WBUPRk?si=xpfSdT6Nxq6EtlPi

Kwahiyo Kenya wakiruka kwenye mto na sisi turuke kwenye mto?
Mbona maCCM mnapenda kuhalalisha mambo mabaya yanayofanywa na jirani ila mazuri aaaaah
 
Back
Top Bottom