Kwa ulichoandika sijui kama unamjua huyo baba wa taifaHujui unachoongelea! Usalama wa kiongozi gani uko mashakani?
Baba wa Taifa alikuwa ame-limit msafara wake kwa magari matano, na hakuna kilichomtokea, pamoja na kwamba miaka ile, wazungu walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba kumshughulikia. Ni ushamba, ujinga, ubinafsi wa viongozi kuwa na magari lundo, tena magari ya bei kubwa sana, na matumizi makubwa sana, huku wananchi wakilia njaa, na vitu vya msingi kama bima ya afya kwa watoto, umeme, maisha magumu na matatizo kibao! Afu eti unatetea???
Unamkumbuka waziri mkuu wa Sweden(?) aliyekutana na mnaijeria(?) akitembea kwenda kazini?Wakienda ulaya wanaona aibu maana misafara hata gari 5 haifiki
Namjua sana kuliko unavyodhani! Ni pamoja na kusoma na binti yake mkubwa!Kwa ulichoandika sijui kama unamjua huyo baba wa taifa
mashaka ni yako pekeyako πHujui unachoongelea! Usalama wa kiongozi gani uko mashakani?
Baba wa Taifa alikuwa ame-limit msafara wake kwa magari matano, na hakuna kilichomtokea, pamoja na kwamba miaka ile, wazungu walikuwa wanamtafuta kwa udi na uvumba kumshughulikia. Ni ushamba, ujinga, ubinafsi wa viongozi kuwa na magari lundo, tena magari ya bei kubwa sana, na matumizi makubwa sana, huku wananchi wakilia njaa, na vitu vya msingi kama bima ya afya kwa watoto, umeme, maisha magumu na matatizo kibao! Afu eti unatetea???
Ungewaambia kabisa maana ya POTUS ni President of The United States maana wengine wanaweza kuhisi ni Mwimbaji wa Singeli! Ahahahahaha!!!Huu ni msafara wa POTUS
View attachment 2900992
HongeraNamjua sana kuliko unavyodhani! Ni pamoja na kusoma na binti yake mkubwa!
Kuna aliyewahi kuwa raisi wa uruguay anaitwa Jose MujicaKwangu mimi naona viongozi bado wanaogopa kushambuliwa. Wanawaza kwamba, endapo watatumia magari mengi, labda wanadhani kuwa ndilo suluhisho la kutoshambuliwa kirahisi. Unajua kwanini? Wanawaza kwamba, kutumia magari mengi kwenye msafala, ni kumchanganya mshambuliaji asijue ni lipi gari la kiongozi husika. Ndiyo mawazo yao.
Kauli dhaifu sanaTanzania ni Tanzania na Kenya ni Kenya.Hivyo kila mmoja apambane na hali yake.
Kwahiyo Kenya wakiruka kwenye mto na sisi turuke kwenye mto?Ukiyasikia Machadema yanavyolalamika kuhusu misafara ya Viongozi wa Kuu wa Kitaifa hapa Tanzania unaweza dhani Tanzania tunafanyia kitu Cha ajabu sana.
Kwa misafara huu wa Waziri wa Michezo wa Kenya ingekuwa ni Tanzania wangemwaga mapovu ya kujaza bwawa la Mindu ππππ
View: https://youtu.be/WJGc-WBUPRk?si=xpfSdT6Nxq6EtlPi
Pale unapo tumia ushahidi wa mpumbavu kuhalalisha ujingaUkiyasikia Machadema yanavyolalamika kuhusu misafara ya Viongozi wa Kuu wa Kitaifa hapa Tanzania unaweza dhani Tanzania tunafanyia kitu Cha ajabu sana.
Kwa misafara huu wa Waziri wa Michezo wa Kenya ingekuwa ni Tanzania wangemwaga mapovu ya kujaza bwawa la Mindu ππππ
View: https://youtu.be/WJGc-WBUPRk?si=xpfSdT6Nxq6EtlPi
Kenya so ndio Nchi yenu ya mfano nyie nyumbu au?Pale unapo tumia ushahidi wa mpumbavu kuhalalisha ujinga
Lawama za kijinga za Machadema Hazina msingi,Tanzania sio exceptionalTanzania ni Tanzania na Kenya ni Kenya.Hivyo kila mmoja apambane na hali yake.
Chadema ndio SI unit ya Tanzania?Kenya ndo SI unit ya Tanzania??