Misururu ya magari kwenye misafara ya ziara za viongozi wetu ni ushamba wa kizamani sana!

Kwahiyo Kenya wakiruka kwenye mto na sisi turuke kwenye mto?
Mbona maCCM mnapenda kuhalalisha mambo mabaya yanayofanywa na jirani ila mazuri aaaaah
Kama kenya ni rolemodel wetu basi tuache kuzuia maandamano ya amani ya gen z wa tanzania ,tukubaliane hapo kwanza
 
Misafara ya Mtume Mwamposa akiwa Nyumbani kwao Mbeya mjini huo wa Waziri wa Kenya ni Chamtoto πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
 
KENYA WAKIUNGA MKONO MASHOGA NANYI TANZANIA MNAIGA? KENYA NDO KIOO CHENU NYIE CCM MLIOZALIWA 2000S? NI AIBU SANA.
 
Mtu mweusi daima atabaki kuwa mtu mweusi tu, hata kama atakuwepo barani Ulaya au Marekani bado tabia zake zitaendelea kubaki kuwa zile zile. Ni Watu weusi wachache sana hapa duniani ambao wamebahatika kuwa na exceptions kwenye suala hili, and it's a rare cases.
 
Ushamba kama ulioonyesha wewe kwenye harusi yako halafu ndoa ikavunjika baada ya wiki
Akili za €hupi!

Hivi huwa hata mnawaza mnachopinga kabla ya kuandika post?
 
Hata tukuu twa mikoana wilaya eti tuna misafara!....poor Tanazania
 
Hayo ndio maonesho ya mtu mweusi. Pamoja na changamoto kibao za kijamii hakuna hatua zozote za kuzuia matumizi yasiyo ya lazima ili kutatua changamoto hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…