Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Still ni maghorofa na ni mazuri kulinganisha na nyumba nyingi Dar.
The point is, Dar imechanganyika sana. Tanzania nzima ipo hivyo.
Miji mingi ina squatters hata sehemu zilizotakiwa kuwa low density. Hiyo ipo wazi.
Hivi mtu akisema low density na high density land inamaanisha nini?
 
Napakubali Goba na Madale

Hahahaa,, Kama unapataja Goba basi ni wazi bado hujalizunguka jiji la Dar la vyakutosha

Goba ni nyumba mpya mpya ila za kawaida na kikubwa zaidi sehemu kubwa ya hiki kitongoji hapajapimwa ( surveyed), kitongoji hakijapangika pamekaa kiholela ( squatter)
 
Hahahaa,, Kama unapataja Goba basi ni wazi bado hujalizunguka jiji la Dar la vyakutosha

Goba ni nyumba mpya mpya ila za kawaida na kikubwa zaidi sehemu kubwa ya hiki kitongoji hapajapimwa ( surveyed), kitongoji hakijapangika pamekaa kiholela ( squatter)
Yes kabisa goba haoajawa surveyed sijui why wamepa thaminisha sana vile

Nyumba mpya za kisasa zimejengwa jengwa tu kiholela soon pakijaa kule patakuwa new modern uswazi
 
Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.

Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.

DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni na nyamkazi
MBEYA ni Forest Mpya na isyesye
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda
KAGERA ni nshambya

View attachment 1684827
Pamoja na yote hayo muwe madoniyeni au muwe machakicheni ( sisi tunaoisha mbagala tunasema hivi) bado tz yetu ipo kwa ulimwengu wa 3
 
Miaka ya nyuma watu walikuwa wanahamasishwa na Urafiki Jazz Band waende Gezaulole,Kibugumo na Mwanadilato wakalime badala ya kumangamanga mjini.

Leo hii Geza inatajwa kuwa makazi ya mataita!😁.
 
Back
Top Bottom