Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
MARA umetusahau mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa peramiho kuna ushua gan? Kule saivi yako makao makuu ya wilaya SONGEA DC, kule sana parokiani, hospital, shule ya secondary maposeni, na chuo cha Afya. .
Mbamba bay je[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa peramiho kuna ushua gan? Kule saivi yako makao makuu ya wilaya SONGEA DC, kule sana parokiani, hospital, shule ya secondary maposeni, na chuo cha Afya. .
Washua wako town.
la kuongezea peramiho ni mbali sana na mjini... ila wanachoma sana kitimoto peramiho.... hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa peramiho kuna ushua gan? Kule saivi yako makao makuu ya wilaya SONGEA DC, kule sana parokiani, hospital, shule ya secondary maposeni, na chuo cha Afya. .
Washua wako town.
Huko sijawahi fika mie,
New Forest Vipi?Of course Isyesye kwa sasa ndio "Masaki" ya Mbeya. Zamani ilikuwa ni Block T, Sae (Kidogo) na Uzunguni.
Bulka ndiyo wapi huko? Ni huku airport? Hapo kwenye viwanja vipya? Hili ndiyo tatizo kubwa la watu wa arusha!! Ujuaji wa kijinga,sasa maeneo yenyewe ndiyo yamegawiwa juzi juzi tu hapo,watu ndiyo wanaanza kujenga mmoja mmoja,nyumba hazijafika hata kumi mtu tayari anapaita "habari ya mjini" mwambie akutajie ma don wawili anaowajua wanaoishi huko hana hata mmoja, analazimisha naye aonekane amejua kitu kipya!!! Iko hivi,kwa arusha Njiro bado ndiyo eneo bora la makazi kwa wenye vipato vya kati na juu, kwa huko mbeleni sijui ila kwa sasa njiro ndiyo inaongoza ligi, kwanza njiro ni kubwa,imeunganisha kata za Lemara,muriet,kijenge(mwanama) Themi, hadi mkonoo,hiyo burka ni kiji plot kimoja cha shamba la kahawa la burka estate,watu ishirini wakijenga hapo panajaa fullBULKA NDO HABARI YA TOWN
Heeeh kwa songea kitimoto kinachomwa sana peramiho na matimira. Yaan huko n hatareeeeh tupu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]la kuongezea peramiho ni mbali sana na mjini... ila wanachoma sana kitimoto peramiho.... hahahaha
Nayo wamo mkuu. Nadhani Forest mpya na Isyesye ndio maeneo recently planned. Ila sina uhakika kama Ma DON wanakaa forest mpyaNew Forest Vipi?
Yani umesema songea ndo umezaliwa halafu hujawahi kufika mbamba bayHuko sijawahi fika mie,
Upanga ni ushuani japo majengo mengi yamepitwa na wakatiKwahiyo upanga, mbezi beach na kurasini sio ushuani??
huo ndio ukweli wa Dar, mji umechanganyika, ukifika makongo, kuna mitaa ni ushuani kabisa, goba pia kuna maeneo ni ushuani, madale hivyohivyo pia mivumoni, ila pia maeneo ya karibu na maeneo hayo wapo watu wa maisha ya kawaida.Kwa Dar kuna sehemu nyingi.
Sema huwa zimezungukwa na uswazi, kwa sababu kwa asili dar imechanganyika sana ukiondoa sehemu ambazo viongozi wa serikali huishi.
Toangoma ipo ya ushuani na ipo ya uswazi, kijichi ipo ya ushuani pia, mjimwema, etc....
Makuru na Ng'ong'onaDodoma ongezea Kisasa na Kilimani ila hapo kwa Nkuhungu sina uhakika sana.
Mitwero, Mitema na Mnazi mmoja soko la mdenga kwa ndani ndani kuleLindi ni Mtanda.
Na siku za hivi kribuni ni kule juu Veta naona kumechangamka sana.
Makuru ipi kulia au kushoto ukiwa unaelekea UDOM...?Makuru na Ng'ong'ona
Upanga vipi mkuuKwa Dar kuna sehemu nyingi.
Sema huwa zimezungukwa na uswazi, kwa sababu kwa asili dar imechanganyika sana ukiondoa sehemu ambazo viongozi wa serikali huishi.
Toangoma ipo ya ushuani na ipo ya uswazi, kijichi ipo ya ushuani pia, mjimwema, etc....