Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoloni aliupanga mji wake ......Upanga vipi mkuu
KuliaMakuru ipi kulia au kushoto ukiwa unaelekea UDOM...?
chanji walevi tu kule kdg baada ya kuweka lami naona pamevutia vutia ila sio kwa madoni kule kwa walevi tu.Daah mwanangu chanji hyo? Labda kwa sababu cjafika huko takribani miaka mi4, ila ni uswaz mbayaa
Mwanza Isamilo umeiachaje ? Kiseke hakuna kitu bora Nyegezi majengo mapya.Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.
Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.
DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni na nyamkazi
MBEYA ni Forest Mpya na isyesye
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda
KAGERA ni nshambya
View attachment 1684827
Ebu piga picha ukiwa juu ya paa ili tufananishe kama yako au laNimeona nyumba yangu hkwenye huu uzi sina neno wakuu.
KAHAMA - Masaki, Mbulu
Ruvuma, Geita, Katavi na Kigoma hakuna madon
Unadhan kutoka songea had mbamba bay n umbali gan? Au naul kias gan? Na kinachonpeleka huko kipi?Yani umesema songea ndo umezaliwa halafu hujawahi kufika mbamba bay
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Ndio maana yake unataka ufananishe wa kishua wa dar au arusha na wa tabira au mtwara?? /!Mangowela na Chuno kuna wakishua gani mkuu?
Au kila mkoa una standard zake za ukishua?
Lindi ni Mtanda .
Na siku za hivi kribuni ni kule juu Veta naona kumechangamka sana.
Kwahiyo niwe nazurura tyuuh holela kisa niumalize mkoa wangu?Mzaliwa inabidi uumalize mkoa wako kabla hujaamia mikoa ya wenzako
Huu ndio uzi wa kujifunza wapi ukanunue eneo la kujenga