Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Mkuu

Naona unatuchanganya

Process ya kupima si ndio kupangilia au kupima ni vingine na kupangilia ni vingine?

Sijakuelewa bado
Kupima ni vingine na kupangilia ni vingine.'
Kunakuwa na Town plan ambayo inaingiliana na land ownership.
Unanunua eneo, unapima ki/viwanja halafu unaenda ku-amend.
That's when problems start.
 
Dodoma middle income inakua kwa kasi sana maeneo ni mengi sana ya makazi yameboreka.
 
Basi hupajui songea na hujawahi kufika

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimecheka hadi nimepaliwa wallah, mie huko ni nyumbani, nimezaliwa, nimekulia, na maisha yangu kiujumla yako kule.
Na nimetoka kule mwez November. Khaaaah.
Hiyo biharamlo itakua umefananisha? Au unasema PERAMIHO.?
 
Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.

Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.

DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni na nyamkazi
MBEYA ni Forest Mpya na Sai
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda
KAGERA ni nshambya

View attachment 1684827

Mkuu kwahyo kumbe Bukoba na Moshi nazo ni mikoa.
Anyway
Ila kwa Mbeya sehemu ya madoni ni isyesye nasi ulipo taja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimecheka hadi nimepaliwa wallah, mie huko ni nyumbani, nimezaliwa, nimekulia, na maisha yangu kiujumla yako kule.
Na nimetoka kule mwez November. Khaaaah.
Hiyo biharamlo itakua umefananisha? Au unasema PERAMIHO.?
Aisee kweli ni peramiho nilichanganya

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwahyo kumbe Bukoba na Moshi nazo ni mikoa.
Anyway
Ila kwa Mbeya sehemu ya madoni ni isyesye nasi ulipo taja
Of course Isyesye kwa sasa ndio "Masaki" ya Mbeya. Zamani ilikuwa ni Block T, Sae (Kidogo) na Uzunguni.
 
Dodoma ongezea Kisasa na Kilimani ila hapo kwa Nkuhungu sina uhakika sana.
Nkuhungu kwa kawaida mno.... Miaka kadhaa ijayo kutakuwa hakuna tofauti na Sinza Dar es Salaam. Kila baada ya nyumba tatu Ni Lodge.
 
Back
Top Bottom