kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,981
- 4,857
Chapwa hamna kitu aiseOngezea na chapwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chapwa hamna kitu aiseOngezea na chapwa
uliza vizuri kwa wenyeji
Kupima ni vingine na kupangilia ni vingine.'Mkuu
Naona unatuchanganya
Process ya kupima si ndio kupangilia au kupima ni vingine na kupangilia ni vingine?
Sijakuelewa bado
Thought you knew .....Kwahiyo tuseme hakuna mji TZ hii basi uliopangiliwa...kuna maeneo tu kadhaa yamepimwa tu
Wanaishi Vamia HukoKasulu Ma DON wanaishi kule karibu na Cheyo Hotel.
Kasulu Sirudi!! Usafiri Tabu, Umeme Wa GeneratorKwa Sasa Kuna magorofa mkuu maeneo ya Ntondo, Mwilavya Kuna taitors kibao wewe endelea kuganga njaa mijini Rudi nyumbani kumenoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimecheka hadi nimepaliwa wallah, mie huko ni nyumbani, nimezaliwa, nimekulia, na maisha yangu kiujumla yako kule.
Wee ni muongo hakuna lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Abanibishia mie wakati kule n home. Muambie huyo.uliza vizuri kwa wenyeji
Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.
Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.
DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni na nyamkazi
MBEYA ni Forest Mpya na Sai
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda
KAGERA ni nshambya
View attachment 1684827
Kumbe na ww wakishua au sio
Aisee kweli ni peramiho nilichanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimecheka hadi nimepaliwa wallah, mie huko ni nyumbani, nimezaliwa, nimekulia, na maisha yangu kiujumla yako kule.
Na nimetoka kule mwez November. Khaaaah.
Hiyo biharamlo itakua umefananisha? Au unasema PERAMIHO.?
🤣 🤣 🤣 🤣 Peramiho vs Biharamulo
Of course Isyesye kwa sasa ndio "Masaki" ya Mbeya. Zamani ilikuwa ni Block T, Sae (Kidogo) na Uzunguni.Mkuu kwahyo kumbe Bukoba na Moshi nazo ni mikoa.
Anyway
Ila kwa Mbeya sehemu ya madoni ni isyesye nasi ulipo taja
Nkuhungu kwa kawaida mno.... Miaka kadhaa ijayo kutakuwa hakuna tofauti na Sinza Dar es Salaam. Kila baada ya nyumba tatu Ni Lodge.Dodoma ongezea Kisasa na Kilimani ila hapo kwa Nkuhungu sina uhakika sana.
Siunaona yanafanana hapo[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Peramiho vs Biharamulo