Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
- Thread starter
- #141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi beach ushuaniKwahiyo upanga, mbezi beach na kurasini sio ushuani??
RUVUMA
Najua ruvuma lakini biharamlo ni kata ipo songea districtRUVUMA
Mmmmmh hapana hakuna kata ya Biharamlo kule Songea, aidha mjini au vijijini.Najua ruvuma lakini biharamlo ni kata ipo songea district
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Basi hupajui songea na hujawahi kufikaMmmmmh hapana hakuna kata ya Biharamlo kule Songea, aidha mjini au vijijini.
Mwenyewe nimeshangaaGoba na Madale ishakua ya matajiri siku hizi?
Aisee masihara haya ujue!
Goba na Madale ishakua ya matajiri siku hizi?
Aisee masihara haya ujue!
hiyo burka iko upande gani mkuuArusha kwa sasa ni Burka mzee. Njiro imepitwa na wakati.
Kisasa ina sehemu za Uswazi kibao-Kwa Dodoma niliona kwa Madoni ni ILAZO pale nyuma ya Shule ya Martin Luther KingDodoma Kisasa unaichaje kwa Ndugai?
Hata Mbweni kuna nyumba za kiswazi kibao, na barabara tope.Goba yote imekaa ki blah blah...
Gorofa moja au mbili,halafu sanaa kibaooo...then tena moja au mbili then sanaa kibao
Njia zimepinda pinda kama duara,tofauti kabisa na Mbweni au Kunduchi
Goba pamechoka mzeee
Maghorofa ya manzese ni vijihotel vile sio nyumba za watuHata Mbweni kuna nyumba za kiswazi kibao, na barabara tope.
Dar imechanganyikana sana, tofauti na miji mikubwa mingi. Yaani utakuta washua wamejenga uswazi.
Siyo ajabu kuona maghorofa ya maana yamejengwa uswazi kabisa. Hata manzese ina maghorofa mengi tu ya maana.
Maeneo ya Toangoma(Tuangoma) kuna uswazi mmoja hivi una mixer magorofa na nyumba za kiswazi, mitaa kama Manzese Midizini au Tandale kwa Bi NyauKibada(toangoma)
Mbweni iliyopimwa ni wapi kuna nyumba za kiswazi mzee?
Au unasemea Mbwezi hospitali kwenye vile vijiji vya wafugaji vipo tangu karne ya 16?
Mbweni yote iliyopimwa mkuu,hukuti uchafu mzee?
Kuna Mbweni kijijini,sehemu ndogo ya hatua kadhaa wa kadhaa,napo sio kwamba pana nyumba mbaya kama unavyosemea
acha ubishi mkuu.... hii Kata ipo maeneo gani??
Still ni maghorofa na ni mazuri kulinganisha na nyumba nyingi Dar.Maghorofa ya manzese ni vijihotel vile sio nyumba za watu
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kasulu Ma DON wanaishi kule karibu na kanisa Katoliki Mwilamvya.Kasulu Ni Wapi?
Nkuhungu Hii Hii
Una sh. NgapiNahitaji eneo Burka hapa Arusha. Nataka niwahi mapema kabla hapajajaa kama Njiro maana naona Nyumba zinashushwa kama vichuguu
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Ipo songeaacha ubishi mkuu.... hii Kata ipo maeneo gani??