Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Basi hua nikiwa dom hata nifikie wapi lazima nile matunda ya wale vijana wa chako ni chako, au nichome kuku pale kona na muda mwingine najikuta kwa mama abas pale kati
Bright ana matunda matamu au unasema pale kwa chesco Saturday bar?
Karibu Dodoma
Kona ya Zanjabil, Kwa Mangi, kwa Shabani au kwa Fred big?
Au Agjo na Mariam Shendele?
 
Tanga ushuani ni raskazone kule

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
We hujatembea kabisa

Tanga raskazone ,Kuna mitaa ya sahare ile iliyo karibu na raskazone imekaa kishua Sana

Kuna mitaa ya kange imekaa kishua Sana pia achana na kasera

Moro kihonda Kilimanjaro Hadi Hadi Yespa kumejaa kishua zaidi Kuna Kilimanjaro ya juu na chini

Ya chini imekaa kiswazi ya just Kuna majumba ya ukwei full geti

Kihonda ni kubwa Sana so usi generalize kote Ni uswazi
 
Mwanza- kapripoint, kiseke, majengo mapya stend ya zamani kwa juu kuna mijengo hatari fire , texas hii ipo kati ya mkolani na buhongwa kwa chini sio kwa mijumba ile.
 
Back
Top Bottom