Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
- Thread starter
- #61
Unakaa kisasa madameNkuhungu aitoe.
Aiweke Kisasa.
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaa kisasa madameNkuhungu aitoe.
Aiweke Kisasa.
Hakuna kupeana buksi hizi sehemuHiyo ni ndiyo ile mitaa ya Wasio ombana chumvi....Kila mtu ako na geti lake.
Kibada bado sana bora ungesema kunduchiKwa Dodoma hapo Nkuhungu nakataa kabisa, Kule Kigamboni kwa Dar kuna Geza, Kibada na Toangoma
Na pia vilevile ni uzi wa sisi mapopo pa kuja kutafutia pesa tukija mikoani.Huu ndio uzi wa kujifunza wapi ukanunue eneo la kujenga
Hamna kitu huko uswahili mwingiNapakubali Goba na Madale
Mzaingira yapo cool kabisaKule burka estate kuna mijengo ya kufa mpangilio na barabara zilizonyooka ingawa si za lami kama huuView attachment 1684902View attachment 1684903
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
USA river uswahilini tu labda ungesema muanzini juuArusha madon tupo usa river.
Hapana mie Kisasa nisingeweza kuishi.
Sakina hamna kitu vurugu nyingiSakina mnaiachaje?
Vijibweni na Kigamboni kwa ujumla ni premium areas zilizopuuzwa.Kwa Dar ongezea Kibada iliyopo Kigamboni na Gezaulole kwa mbaaali inafuata, na laiti kama JK angejiongezea muda madarakani basi maeneo haya na mengineyo ya Kigamboni yangekuwa ni UNTOUCHABLE.
HahahaIsen kuna wachawi na waganga wengi wakienyeji...
Kwanini useme usingeweza kuishi kisasaHapana mie Kisasa nisingeweza kuishi.
Nipo Airport, kwa wenzangu....hahaahha
Kigamboni hamna kitu bora useme kunduchi au kijichiVijibweni na Kigamboni kwa ujumla ni premium areas zilizopuuzwa.
Kisasa % nyingi ni watu wa magetini.
Bila kusahau toangomaKwa Dar ongezea Kibada iliyopo Kigamboni na Gezaulole kwa mbaaali inafuata, na laiti kama JK angejiongezea muda madarakani basi maeneo haya na mengineyo ya Kigamboni yangekuwa ni UNTOUCHABLE.
Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.
Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.
DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni
MBEYA ni Forest Mpya, Isesye na Saisai
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda
View attachment 1684827
Nina mpango kuishi huko baadae.