Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Mitaa wanayoishi MADON katika kila mkoa ni hii hapa

Kwa Dar ongezea Kibada iliyopo Kigamboni na Gezaulole kwa mbaaali inafuata, na laiti kama JK angejiongezea muda madarakani basi maeneo haya na mengineyo ya Kigamboni yangekuwa ni UNTOUCHABLE.
Vijibweni na Kigamboni kwa ujumla ni premium areas zilizopuuzwa.
 
Kwanini useme usingeweza kuishi kisasa

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kisasa % nyingi ni watu wa magetini.
Mie kiukweli nimezoea kuzurura zurura hovyo.
Leo nipo Chako, kesho nipo Royal, keshokutwa Malaika.
Sasa na gambe hizi kila siku nitakuwa nalala njiani.
Afi Airport ni katikati ya mji....umenipata sasa!!
 
Kwa Dar ongezea Kibada iliyopo Kigamboni na Gezaulole kwa mbaaali inafuata, na laiti kama JK angejiongezea muda madarakani basi maeneo haya na mengineyo ya Kigamboni yangekuwa ni UNTOUCHABLE.
Bila kusahau toangoma
 
MBEYA imesahaulika IWAMBI na VETA na UZUNGUNI unless hukutembea hayo maeneo
Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.

Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.

DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni
MBEYA ni Forest Mpya, Isesye na Saisai
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda

View attachment 1684827
 
Back
Top Bottom