Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaishi kibada mrembo?Kibada(toangoma)
Hapana mpendwaUnaishi kibada mrembo?
Ule ukanda wa Shangani ya Magharibi kwa waliokulia Mtwara watakumbuka haikuwepo. Kulikua na Shangani tu na ilianzia Bandarini na shule ya Msingi Shangani, Ndanda ndogo hadi kulekea iliko Mess. Kwa sasa Shangani West ambayo iko vizuri inagusa Chuno, mtaa mmoja mbele ya Indian quarters ambao ni amazing, hata sijui wanauitaje siku hizi na Shangani yenyewe na ukanda unaonzia Mangoela. Hayo maeneo yalikua mashamba ya Mtama enzi hizo na sasa ni part ya Shangan West.Mangowela na Chuno kuna wakishua gani mkuu.?
Au kila mkoa una standard zake za ukishua.?
Mkuu umetuwakilisha sisi wa Chamazi,Mbande na kwa Mpalange@prondoSisi wa Buza tunacomment wapi?
Kwa MpalangeSisi wa Buza tunacomment wapi?
Upo kibada mrembo?Kibada(toangoma)
Sakina mnaiachaje?Arusha kwa sasa ni Burka mzee..... Njiro imepitwa na wakati...
Sipo kibadaUpo kibada mrembo?
Dodoma Kisasa unaichaje kwa Ndugai?Kasulu Ni Wapi?
Nkuhungu Hii Hii
Kibada kuanzia main road kupandisha nyumba za nssf(lami mpya) moja ya sehemu nzuri,zenye nyumba Kali Dar es salaam hii. It's amazingKibada(toangoma)
Kweli kabisa.Kibada kuanzia main road kupandisha nyumba za nssf(lami mpya) moja ya sehemu nzuri,zenye nyumba Kali Dar es salaam hii. It's amazing
Bwiru pako juu aisee.
Ndio IsamiloBwiru pako juu aisee.
Umesema atoe Iseni aweke Bwiru na,,,
apo "na"ulitaka kusema wapi,Isamilo au wapi?
Kule burka estate kuna mijengo ya kufa mpangilio na barabara zilizonyooka ingawa si za lami kama huuArusha kwa sasa ni Burka mzee..... Njiro imepitwa na wakati...