yorkshire
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 2,525
- 3,139
Sakina ni huku barabarani tu huko ndn hkn kitu pia hkn road ndan ndanSakina mnaiachaje?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sakina ni huku barabarani tu huko ndn hkn kitu pia hkn road ndan ndanSakina mnaiachaje?
hakuna tajiri wa maana anaishi huko kigamboni ni shambani wanakuja kupumzika weekend tuKwa Dar ongezea Kibada iliyopo Kigamboni na Gezaulole kwa mbaaali inafuata,,, na laiti kama JK angejiongezea muda madarakani basi maeneo haya na mengineyo ya Kigamboni yangekuwa ni UNTOUCHABLE
sakina ni kwa wahuniSakina ni huku barabarani tu huko ndn hkn kitu pia hkn road ndan ndan
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
BULKA NDO HABARI YA TOWNNjiro ni kwa ma Don
Ndio .
ila ni ya kitambo japo ipo kimpangilio,
Kwa Sasa Arusha Kuna maeneo yamejengwa zaidi ya Njiro...
Dah kweli mkuu,Iseni ni choka mbaya.Bwiru pako juu aisee.
Umesema atoe Iseni aweke Bwiru na,,,
apo "na"ulitaka kusema wapi,Isamilo au wapi?
Buza[emoji3][emoji3]Sisi wa Buza tunacomment wapi?
Buza PoliceSisi wa Buza tunacomment wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Mpalange[emoji3][emoji3]
Nkuhungu aitoe.Dodoma ongezea Kisasa na Kilimani ila hapo kwa Nkuhungu sina uhakika sana.