Hivi mtu akisema low density na high density land inamaanisha nini?Still ni maghorofa na ni mazuri kulinganisha na nyumba nyingi Dar.
The point is, Dar imechanganyika sana. Tanzania nzima ipo hivyo.
Miji mingi ina squatters hata sehemu zilizotakiwa kuwa low density. Hiyo ipo wazi.
Size ya kiwanja kimoja ni kubwa kwa low density.Hivi mtu akisema low density na high density land inamaanisha nini?
Igudija B?Mwanza Nyamuhuge Nyasaka
UtopoloIgudija B?
Ni Porini sana ni Nini?Utopolo
Mwanza, ShibulaMwanza Nyamuhuge Nyasaka
Kipenda roho kula nyama mbichiNi Porini sana ni Nini?
Funguka, acha mafumbo kijanaKipenda roho kula nyama mbichi
Napakubali Goba na Madale
Yes kabisa goba haoajawa surveyed sijui why wamepa thaminisha sana vileHahahaa,, Kama unapataja Goba basi ni wazi bado hujalizunguka jiji la Dar la vyakutosha
Goba ni nyumba mpya mpya ila za kawaida na kikubwa zaidi sehemu kubwa ya hiki kitongoji hapajapimwa ( surveyed), kitongoji hakijapangika pamekaa kiholela ( squatter)
Pamoja na yote hayo muwe madoniyeni au muwe machakicheni ( sisi tunaoisha mbagala tunasema hivi) bado tz yetu ipo kwa ulimwengu wa 3Kila mtu ana lengo la kujenga au kuanzisha makazi sehemu zenye utulivu, amani na usalama vilevile kwenye hewa na upepo mwanana.
Mara nyingi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon au watu wenye ukwasi wa kutosha. Kwa research yangu baada ya kuzunguka mikoa mingi ya Tanzania basi hizi ni sehemu ambazo wanaishi madon unaweza na wewe ukaongezea.
DAR ES SALAAM ni Mbezi beach, Masaki, Oysterbay, Mikocheni B na Mbweni
MWANZA ni bwiru, Kapripoint na Kiseke
BUKOBA ni Miembeni na nyamkazi
MBEYA ni Forest Mpya na isyesye
DODOMA ni area D na kisasa
TANGA ni Raskazone
ARUSHA ni Njiro
MOSHI ni Shanty Town
MTWARA ni Shangani
MOROGORO ni Forest Hill
TABORA ni Uzunguni Nzega
SINGIDA ni Uwenge Uzunguni
SHINYANGA ni Bushushu na Majengo
ZANZIBAR ni Chukwani na Mbweni
IRINGA ni Gangilonga
LINDI ni mtanda
KAGERA ni nshambya
View attachment 1684827
No,Mwanza Nyasaka 😅Mwanza, Shibula