Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendazake alikuwa simba kutokana na kassim na kijana wake paul aka bashite. Mama ni mwananchi haswa, huku genge la jk ni Yanga kindakindaki, kwahiyo simba ihesabu maumivu mpaka awamu hii iishe.Wazee wanasema Simba na Yanga hazijawahi kuwa imara kwa wakati mmoja
Ndo mnavyojidanganyagaHuyo Barbara ni zaidi ya CEO,yule ni Chawa na Mwandani wa Mwamedi.
Mkuu Samia na watu wake wanacheza namba ngapi?Mwendazake alikuwa simba kutokana na kassim na kijana wake paul aka bashite. Mama ni mwananchi haswa, huku genge la jk ni Yanga kindakindaki, kwahiyo simba ihesabu maumivu mpaka awamu hii iishe.
Simba inamatatizo yake ambayo Kigwangalla hawezi yatatua kamwe hla katimiza wajibu wake kama mwanachamaMkuu huu siyo mda wa kuchekana.Wezako tunaumia kuona timu inaenda kupotea
Sio kweliTusichekane ni bora kutushauri kipi tufanye. Kumbukuka uimara wa Simba ni uimara wa Yanga.
Life kabisaMkuu huu siyo mda wa kuchekana.Wezako tunaumia kuona timu inaenda kupotea
Ni akili zetu tu watanzania mbona hivi vilabu vikiwaga vimepoa mfano (ligi zikiisha au kama kipindi mpira umesimama) tunatafutaga mautumbo mengine ya kujadili?Tatizo la hizi team ni zaidi ya mpira japo zimekaa kisiasa ila lengo ni Watanzania waache kujadili mambo ya msingi yahusuyo maisha yao na serikali yao wajadili Simba na Yanga na hilo wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa ndio maana kwenye vijiwe vingi vya kahawa mada zao nyingi ni Simba na Yanga yaani hali si shwari.
Thread Closed.Ni sahihi huwezi shindana na rais wa nchi mwenye mamlaka ya kila kitu ,yeye hutoa order tu.
Gsm ni Zaid ya tunavyoijua .
Huyo mnayemwita boss ni chawa tu,Ila mmiliki wa gsm yupo amekaa pembeni anatucheki tu.
Mo sio fala anajua michezo yote inayochezwa na upande wa pili na anajua akina Nan anapambana nao ,ndio maana kaamua kuwakwepa kidizain maana anajua fika hawez pambana na mamlaka ,mziki wa mamlaka ni mnene unaweza haribu Hadi biashara za familia.
Familia kwanza ,mpira baadae.
Leo hii mnaomba ushauri ? Maajabu haya!Tusichekane ni bora kutushauri kipi tufanye. Kumbukuka uimara wa Simba ni uimara wa Yanga.
Sasa tofauti na Simba Na Yanga ni nini!? Leo akiondoka GSM, nitajie option watakayobaki nayo Yanga kuendesha timu.Igeni walichofanya yanga... Ikiwezekana boresheni..
Kumhisi mtu ni dhambi mkuu, jamaa simba mwenzetu huyuMhh post zako kama huwa una wadiss wekundu
Singida hakuwa na fan base. Simba ina mtaji mkubwa wa Mashabiki. Ndio maana ni kichekesho kikubwa Simba au Yanga kuwa masikini. Ni aibu. Kwani karibia nchi nzima ni Simba au Yanga.Huwajui wahindi wewe.Waulize Singida walivyoachwa Solemba
Mbona umeumia sana mkuu?Utopia kuna namna bongo zao zimeoza! Uzi waanzishe wao na kucomment wacomment wao pia!
Wakati yupo Manji ulimsikia GSM? Wawekezeji wapo mkuu.Sasa tofauti na Simba Na Yanga ni nini!? Leo akiondoka GSM, nitajie option watakayobaki nayo Yanga kuendesha timu.
Tatizo ni lipi kiuongozi. Tujulishe tusiojua na ulete source ya kuaminika.Au unataka tuamini tu udaku.Sababu za Barbara kujiuzulu kazianisha .Au kujiuzulu mtu na kutafuta changamoto zingine ni tatizo?Alipojiuzulu CEO wa kwanza kulikuwa na tatizo la uongozi au alipata dili lingine Yanga?Unataka kusema Msimbazi hakuna shida kiutawala?
Tena hata hapo umeongeza sifa wengi wa wanaoongea sana hata kadi hawanaHasara roho
Najiuliza hizo timu mnazoshabikia za Ajax, Liverpool, Barcelona nk.... huwa mnaingiaga kwenye mikutano yao ya maamzi?
Unamiliki Timu Tanzania mpaka unaumwa ukifungwa. Je uliwekeza shs ngapi kununua hisa?
Wabongo acheni upuuzi wa kujifanya mnamiliki simba au yanga kupitia kadi zenu za uanachama.
Soka haliwezi kukua kwa akili za kijinga kama hizi
ChaiWapo viongozi wakubwa serikalini wanamsihi kutofanya hivyo lakini jamaa haelewi.