Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki.
Eti timu atauuziwa Mchina huku inajulikana wazi timu hizi huwezi kuwa na hisa za kuimiliki kama sio mtanzania.
Halafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana bali uzushi na ramli chonganishi.Na hata hawaulizwi.Inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa hivi.
Unataka kusema Msimbazi hakuna shida kiutawala?
 
Wao Simba walimpa nini Mo, Simba Ina assets zipi, value ya brand ni sh ngapi, msileye ujinga Simba na Yanga hamna kitu ni timu za kipumbavu sana. Hizo timu ni za wazaramo, waluguru, wakwere, wandegereko basi wengine wote tunajipendekeza
Acha upumbavu kutaja makabila ya watu. Usirudie tena kijana.
 
Binafsi mm ni Yanga damu damu lkn kuna faida gani endapo mtani atakua hoi? Nani ataleta ushindani?
Nawaombea kwa Mungu msimbazi hali iwe shwari na waimarike. Uimara wa Simba ni uimara kwa yanga. Yanga bila simba hakuna kitu na vice-versa.
Wewe ni kolo
 
Watani poleni Mwamedi ni jirani yangu huku, haya niambieni nikawaombee nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kupitisha bakuli, kupokezana...
Thiz iz Thimbaaaa
Guvu moya [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wana thiiiiiiimbaaa
 
Unataka kusema Msimbazi hakuna shida kiutawala?
Ki utawala shida ipo ishu je lini Mo kasema anauza hisa au wapi alikaa na kutamka ndio tunataka kujua bosi wa Chelsea alitamka nao Liverpool ivyo ivyo kila mtu akajua je upande wa Mo au ndio vi blog feki vipo upande wa kutetea kununua mchina ata hii ya mchina nayo anaijua Nani wapi mchina alitamka?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwa hasira nilizonazo sina muda na Salam!

Hii ni habari mbaya sana kwa Mashabiki wa Soka hasa Mashabiki wenzangu wa Simba Sc. Kwanini Mo Dewji unatufanyia hivi lakini?

Muda wowote tajiri anaikacha rasmi timu yetu. Wapo viongozi wakubwa serikalini wanamsihi kutofanya hivyo lakini jamaa haelewi.

Kwakweli tunashauriwa tusimtegemee mtu kwa 100%. Mo Dewji unaondokaje Simba Sc huku bado hatujui 20B iko wapi? Tunaomba Mamlaka za serikali ziingilie kati.

Sasa Wanasimba tujiandae kwa Bakuli kwa ajili ya kulipa mishahara ya Wachezaji. Mikataba ilisainiwa mingi sana ila saiv kuna loope hole ya upigaji. Mimi nitatembeza bakuli kuhakikisha KIBU D anapata Mshahara.

Simba Nguvu moja.
Bora aondoke nazo maana ziapigwa tuu
 
Binafsi mm ni Yanga damu damu lkn kuna faida gani endapo mtani atakua hoi? Nani ataleta ushindani?
Nawaombea kwa Mungu msimbazi hali iwe shwari na waimarike. Uimara wa Simba ni uimara kwa yanga. Yanga bila simba hakuna kitu na vice-versa.
Upinzani ataleta Azam
 
Back
Top Bottom