Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Nani amekuambia anauza hisa?Umeziona kwenye soko gani la hisa?Udaku ni full time job kwa watanzania. Punguzeni uzushi njooni na facts na source za kuaminika.
Lisemwalo lipo mkuu
 
Simba aiwezi pitisha bakuli kama jamaa wale eti Simba Leo iwe kama mlimani fc hapana izo za mlimani fc za kupitisha bakuli wale jamaa ndio yaliwakuta Simba ilishapita na ukata lakini aikufika level ya mlimani fc kupitisha bakuli la kubwa kuliko no no Mambo ya mlimani fc kule ndio wanaweza.
 
Hasara roho

Najiuliza hizo timu mnazoshabikia za Ajax, Liverpool, Barcelona nk.... huwa mnaingiaga kwenye mikutano yao ya maamzi?

Unamiliki Timu Tanzania mpaka unaumwa ukifungwa. Je uliwekeza shs ngapi kununua hisa?

Wabongo acheni upuuzi wa kujifanya mnamiliki simba au yanga kupitia kadi zenu za uanachama.

Soka haliwezi kukua kwa akili za kijinga kama hizi
Mwenye Akili azingatie haya Maneno yenye Hekima !!
 
Kigwangala alipokuwa anahoji mlimkashifu na kumuona lopolopo fulani!!, Tuliwaambia hapa hakuna tajiri akawa na mapenzi na timu nje ya kutaka kunufaika mwenyewe. Mkawa mnasema Mohamedi ni Simba damu anajitolea 😅😅, haya Sasa nendeni mkapmpigie magoti kigwangala!!.
Kenge huwa hasikii hadi aone damu inatoka masikioni.

MBUMBUMBU FC kwaheri yao..!!
 
Huwa najiuliza. Hakuna wana Simba elfu kumi Tanzania kila mmoja kuchangia TZS 100,000 kwa mwaka ikapatikana bilioni moja?

Labda hiyo haitoshi.

Je, hakuna wapenda Simba laki moja tuka changia kila mmoja laki moja kwa mwaka ikapatikana bilioni 10.

Au hatupo wapenda Simba milioni 1 tukachangia kwa michango au kuwekeza TZS 100,000 katika hisa ikapatikana 1,000,000*100,000 yaani TZS 100,000,000,000?

Na kama ni ngumu sababu za tabia zetu kushindwa usimamizi na janjajanja nyingi, mbona tunataka wengine ndio wawekeze na kuhoji kwingi ilhali hata 500 hatutoi?

Hizi klabu zetu zitakuwa na mafanikio ya misimu tu.

Klabu pekee ikiamua kufanya kweli na ikafanikiwa ni Azam FC peke yake. Hao wengine ni kama mihemko ya uchaguzi tu.

Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa ! Wabongo ni hodari wa maneno maneno tu lakini vitendo ni sufur bin sufur = zero !!
 
Simba aiwezi pitisha bakuli kama jamaa wale eti Simba Leo iwe kama mlimani fc hapana izo za mlimani fc za kupitisha bakuli wale jamaa ndio yaliwakuta Simba ilishapita na ukata lakini aikufika level ya mlimani fc kupitisha bakuli la kubwa kuliko no no Mambo ya mlimani fc kule ndio wanaweza.
Muda ni mwalimu mzuri
 
Kuna wachina wanataka
Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki.
Eti timu atauuziwa Mchina huku inajulikana wazi timu hizi huwezi kuwa na hisa za kuimiliki kama sio mtanzania.
Halafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana bali uzushi na ramli chonganishi.Na hata hawaulizwi.Inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa hivi.
 
Simba wanamkata na Mbet wa 26B, hizi ni pesa nyingi kuendesha timu!! Hofu je ni kweli hizo pesa zipo au ndio ilikuwa janjajanja yakuonesha Simba imepanda thamani au lah!!. Wacha iendeleee kunyesha....
Pesa za MBET ni za kulipwa kwa awamu, usikute hizi pesa zinazama kwa wajanja, wameipeleka timu ktk mikataba mingi kisha sasa hivi wanasepa.
 
Sasa ndo muda wa wale Wazee wa "Tuachie Team yetu, Simba ni kubwa kuliko Mtu" kuisaidia Simba kwa hari na Mali.
 
Pesa za MBET ni za kulipwa kwa awamu, usikute hizi pesa zinazama kwa wajanja, wameipeleka timu ktk mikataba mingi kisha sasa hivi wanasepa.
Huo ndo ukweli.Wahuni si watu wazuri
 
Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki.
Eti timu atauuziwa Mchina huku inajulikana wazi timu hizi huwezi kuwa na hisa za kuimiliki kama sio mtanzania.
Halafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana bali uzushi na ramli chonganishi.Na hata hawaulizwi.Inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa hivi.
Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki Eti mo anataka kuuza hisa
Alafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana Bali uzushi na ramli chonganishi na hata awaulizi inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa ivi. Je we unayo source kamilifu Kwamba mo katamka kua anauza hisa ?
 
Back
Top Bottom