Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Mitaa ya Msimbazi hali si shwari

Tulisema kuwa "ubingwa wa Simba au Yanga ni vita ya pesa kati ya MO na GSM, tuone nani atakalishwa chini".
Tayari MO chaliiii mapemaaaa, [emoji12][emoji12]anataka kukimbia ulingooo!!
GSM bingwaaaa [emoji123][emoji123][emoji123] tayariiiiiii!!
Ni sahihi huwezi shindana na rais wa nchi mwenye mamlaka ya kila kitu ,yeye hutoa order tu.
Gsm ni Zaid ya tunavyoijua .
Huyo mnayemwita boss ni chawa tu,Ila mmiliki wa gsm yupo amekaa pembeni anatucheki tu.

Mo sio fala anajua michezo yote inayochezwa na upande wa pili na anajua akina Nan anapambana nao ,ndio maana kaamua kuwakwepa kidizain maana anajua fika hawez pambana na mamlaka ,mziki wa mamlaka ni mnene unaweza haribu Hadi biashara za familia.

Familia kwanza ,mpira baadae.
 
...Dirisha dogo linakaribia CEO anajiuzulu siku 5 tu kabla ya dirisha kufunguliwa na Mwekezaji anatangaza kuuza hisa zake.

Nina shaka kuwa haujauona kabisa waraka wa nia ya kujiuzuru wa CEO. Pia nina shaka kuwa huenda hufahamu mifumo inavyofanya kazi
 
Kwa hasira nilizonazo sina muda na Salam!

Hii ni habari mbaya sana kwa Mashabiki wa Soka hasa Mashabiki wenzangu wa Simba Sc. Kwanini Mo Dewji unatufanyia hivi lakini?

Muda wowote tajiri anaikacha rasmi timu yetu. Wapo viongozi wakubwa serikalini wanamsihi kutofanya hivyo lakini jamaa haelewi.

Kwakweli tunashauriwa tusimtegemee mtu kwa 100%. Mo Dewji unaondokaje Simba Sc huku bado hatujui 20B iko wapi? Tunaomba Mamlaka za serikali ziingilie kati.

Sasa Wanasimba tujiandae kwa Bakuli kwa ajili ya kulipa mishahara ya Wachezaji. Mikataba ilisainiwa mingi sana ila saiv kuna loope hole ya upigaji. Mimi nitatembeza bakuli kuhakikisha KIBU D anapata Mshahara.

Simba Nguvu moja.
Serikali iingilie kati?
 
Kwa hasira nilizonazo sina muda na Salam!

Hii ni habari mbaya sana kwa Mashabiki wa Soka hasa Mashabiki wenzangu wa Simba Sc. Kwanini Mo Dewji unatufanyia hivi lakini?

Muda wowote tajiri anaikacha rasmi timu yetu. Wapo viongozi wakubwa serikalini wanamsihi kutofanya hivyo lakini jamaa haelewi.

Kwakweli tunashauriwa tusimtegemee mtu kwa 100%. Mo Dewji unaondokaje Simba Sc huku bado hatujui 20B iko wapi? Tunaomba Mamlaka za serikali ziingilie kati.

Sasa Wanasimba tujiandae kwa Bakuli kwa ajili ya kulipa mishahara ya Wachezaji. Mikataba ilisainiwa mingi sana ila saiv kuna loope hole ya upigaji. Mimi nitatembeza bakuli kuhakikisha KIBU D anapata Mshahara.

Simba Nguvu moja.
Kigwangala [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom