Unataka kusema Msimbazi hakuna shida kiutawala?Ndio tatizo la wabongo kuamini udaku na vi blog feki.
Eti timu atauuziwa Mchina huku inajulikana wazi timu hizi huwezi kuwa na hisa za kuimiliki kama sio mtanzania.
Halafu hao makanjanja wanaoleta hii habari hawana source ya maana bali uzushi na ramli chonganishi.Na hata hawaulizwi.Inashangaza na kuogopesha tumekubali kuwa hivi.
Acha upumbavu kutaja makabila ya watu. Usirudie tena kijana.Wao Simba walimpa nini Mo, Simba Ina assets zipi, value ya brand ni sh ngapi, msileye ujinga Simba na Yanga hamna kitu ni timu za kipumbavu sana. Hizo timu ni za wazaramo, waluguru, wakwere, wandegereko basi wengine wote tunajipendekeza
Sio kuamini Bali wameona Simba mara tatu mfululizo anatinga robo final ni nguvu ya nan kama sio MoYaani mpka leo kina watu wanaamini MO atawavusha
Raha saaana yaani.Kuna raha flani hua watanzania wanaipata Simba inapopitia magumu
Wewe ni koloBinafsi mm ni Yanga damu damu lkn kuna faida gani endapo mtani atakua hoi? Nani ataleta ushindani?
Nawaombea kwa Mungu msimbazi hali iwe shwari na waimarike. Uimara wa Simba ni uimara kwa yanga. Yanga bila simba hakuna kitu na vice-versa.
Wakati ule Simba Pana ukata aukua muda Bali upepo si ndio muda ule umefundsha Simba na ukata wote lakin akua chongo fc kupitisha bakuliMuda ni mwalimu mzuri
Wana thiiiiiiimbaaaWatani poleni Mwamedi ni jirani yangu huku, haya niambieni nikawaombee nini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kupitisha bakuli, kupokezana...
Thiz iz Thimbaaaa
Guvu moya [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wana simba tuishi humuMkitaka kumkomoa bidhaa zake zote sokoni susieni.
Mwaweza Sema Zina sumu.
Atapotea mwenyewe
Ki utawala shida ipo ishu je lini Mo kasema anauza hisa au wapi alikaa na kutamka ndio tunataka kujua bosi wa Chelsea alitamka nao Liverpool ivyo ivyo kila mtu akajua je upande wa Mo au ndio vi blog feki vipo upande wa kutetea kununua mchina ata hii ya mchina nayo anaijua Nani wapi mchina alitamka?Unataka kusema Msimbazi hakuna shida kiutawala?
Samahani mkuu, hivi we mwenyewe umeelewa ulichoandika?Wakati ule Simba Pana ukata aukua muda Bali upepo si ndio muda ule umefundsha Simba na ukata wote lakin akua chongo fc kupitisha bakuli
Sasa ndugu si ndio hoja zenyewe izi za kutaka kujua source za izi Mambo ili tuujue ukweliMkuu huku siyo fb punguza hasira ujenge hoja.
Bora aondoke nazo maana ziapigwa tuuKwa hasira nilizonazo sina muda na Salam!
Hii ni habari mbaya sana kwa Mashabiki wa Soka hasa Mashabiki wenzangu wa Simba Sc. Kwanini Mo Dewji unatufanyia hivi lakini?
Muda wowote tajiri anaikacha rasmi timu yetu. Wapo viongozi wakubwa serikalini wanamsihi kutofanya hivyo lakini jamaa haelewi.
Kwakweli tunashauriwa tusimtegemee mtu kwa 100%. Mo Dewji unaondokaje Simba Sc huku bado hatujui 20B iko wapi? Tunaomba Mamlaka za serikali ziingilie kati.
Sasa Wanasimba tujiandae kwa Bakuli kwa ajili ya kulipa mishahara ya Wachezaji. Mikataba ilisainiwa mingi sana ila saiv kuna loope hole ya upigaji. Mimi nitatembeza bakuli kuhakikisha KIBU D anapata Mshahara.
Simba Nguvu moja.
Marketing manager si yule kocha wa makipa na matola na boko?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumuuzie nani?
Upinzani ataleta AzamBinafsi mm ni Yanga damu damu lkn kuna faida gani endapo mtani atakua hoi? Nani ataleta ushindani?
Nawaombea kwa Mungu msimbazi hali iwe shwari na waimarike. Uimara wa Simba ni uimara kwa yanga. Yanga bila simba hakuna kitu na vice-versa.
AhaaaSamahani mkuu, hivi we mwenyewe umeelewa ulichoandika?
Zitapigwa tuBora aondoke nazo maana ziapigwa tuu