Mitaala inayoelezea safari za Carl Peters inasaidiaje kijana wa Kitanzania?

Mitaala inayoelezea safari za Carl Peters inasaidiaje kijana wa Kitanzania?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hivi mnaosoma somo la historia kwa sasa bado mnafundishwa kuhusu safari za carl peters??
Is this the history we praise and teach?
 
Unataka somo la history liwe la ujinga wa Magufuli? Kwanza ulikuwa wapi?
Usipomjadili Magufuli na Nyerere unataraji mtanzania gani ataingia kwenye historia?

Somo la historia tunalufindishwa sasa ni kujinyonga kwa mkwawa badala ya njia bora alivyoweza kuongoza watu wake.
 
History ya darasa la ngapi inaelezea safari za Carl Peters hawa wametajwa kwenye topic ya Form two agents of colonialism basi usitake kupotosha ili tusome history ya wenye track records za Mirembe
 
Historia ya safari ya Carl Peters na wenzake inakuonyesha namna gani wakoloni wetu walianza kuifahamu nchi yetu hadi wakavutiwa kuitawala. Bila safari hizo wasingeifahamu na wala wasingeshawishika kuitawala.

Aidha safari zao ziliwezesha wao kufahamu tamaduni zetu, makabila yetu, watawala wetu (machifu na wafalme) uwezo wa makabila yetu kijeshi na hivyo wakaweza kujiandaa kikabiliana nayo. Pia waliweza kuweka mikataba mbalimbali na watawala wetu ambayo ilipelekea kuanza kutawaliwa bila mapigano.

Ni mengi ya kujifunza tafuta vitabu usome!
 
si hivyo tuu tuanze kwanza na hi kitu inayoitwa ccm
ccm ccm ndy chanzo cha huu ujinga wote
 
Historia ya safari ya Carl Peters na wenzake inakuonyesha namna gani wakoloni wetu walianza kuifahamu nchi yetu hadi wakavutiwa kuitawala. Bila safari hizo wasingeifahamu na wala wasingeshawishika kuitawala.

Aidha safari zao ziliwezesha wao kufahamu tamaduni zetu, makabila yetu, watawala wetu (machifu na wafalme) uwezo wa makabila yetu kijeshi na hivyo wakaweza kujiandaa kikabiliana nayo. Pia waliweza kuweka mikataba mbalimbali na watawala wetu ambayo ilipelekea kuanza kutawaliwa bila mapigano.

Ni mengi ya kujifunza tafuta vitabu usome!
Mbina tamaduni zetu nzuri hazifundishwi huko ulaya?
Kwani hakuna kina carl peters wetu waliotoka eneo moja kwenda jingine?

Hoja:Inakusaidia nini kujua hizo movement za carl peters na vasco dagama?
 
Inatusaidia..

"Those who forget their history are doomed to repeat it"...

ule uongo wa risasi kugeuka Maji na gesi kuwekwa kila nyumba una tofauti? David Livingstone alivokua anasainisha machifu mikataba ya kujiuza bila kujua haina tofauti na sasa hivi hawa viongozi wetu wanavojinasibu na wachina wao kisa Powerpoint ya mradi alioonyeshwa kule China !🤣🤣🤣🤣
 
Nadhani kwanza inabidi uelewe Historia ni nini..., Ukishajua hilo pitia kidogo na uangalia impact / umuhimu aliokuwa nao Huyo Mkono wa Damu Katika kampuni ya Deutsch Ostafrica..., na ukigundua kwamba East Africa na Tanzania ipo utakuwa umejipa jibu....

You can't change history.....
 
Imesaidia Vijana wetu walioko nje ya nchi na inaendelea kuhimiza wengine wafanye Safari za kibiashara nyingi iwezekanavyo ili kuinua Uchumi.
 
Imesaidia Vijana wetu walioko nje ya nchi na inaendelea kuhimiza wengine wafanye Safari za kibiashara nyingi iwezekanavyo ili kuinua Uchumi.
Kwamba kuna mtu anaenda Dubai baada ya kufunzwa historia?
 
Kwamba kuna mtu anaenda Dubai baada ya kufunzwa historia?
Sio wote, ila muhimu ukiwa ungali mdogo kufahamu A, B, C, D..... za Historia na Geographia.
Historia inasaidia sana hasa kujitambua na kutimiza malengo husika.
 
Sio wote, ila muhimu ukiwa ungali mdogo kufahamu A, B, C, D..... za Historia na Geographia.
Historia inasaidia sana hasa kujitambua na kutimiza malengo husika.
Historia ya Watanzania wenzako ni muhimu ndio maana walami wanaitunza kuitunza na kuieneza historia ya watu wao.
 
Tanzania sio kijiji, ni sehemu ya Dunia hivyo kufahamu nini wenzetu wa Duniani walifanya sio dhambi.
Hivi ulikwisha wahi kujiuliza kwanini tunasoma masomo ya dini yenye historia ya maisha ya watu wasio Watanzania?
 
Ur doomed history hiko vzr people they have to knows More things from colonialism regime
 
Back
Top Bottom