Naomba nieleweke vyema haswa.
lilikuwa ni agizo lenye vision kutoka kwa mwamba John Pombe Magufuli kuwa ni vyema mitaala ya elimu yetu ikajikita kwenye certain purpose mfano unapowafundisha watoto historia inatupasa tuwafundishe historia ya ubora wetu na ubora wa wanadunia wenye mrengo wetu na sio kufundisha mapokeo ya kimagharibi.
This is what we call vision...and we should respect it.
Katika karne hii si sawa kufundisha historia inayorembesha heroes wa kimagharibi...its not the time to indoctrinate The future young minimi of Tanzania with barberick and bastards from umeurope who exploited us.
It is high time to ecpress and embrace the naturality of the great Tanzania indegenious who made wonders in harnessing the nature.
We proud Tanzanians have so many tales to tell the world.
No history subject in our curricula explains the betterment of Masai,Gogo,pogoro and you name them!
No one Tanzanian need to become Kinjekitile or Isike.
We need the history subjects refecting the heroism of Nyerere 'Magufuli,Mangi Meli ,Isike,Mazengo,Kimweri,Pandu ,Sarakyka ,Mabula et al.