Mitaala ya somo la Historia iliyositishwa ilijaa propaganda za kumsifu Magufuli kuwa ni kinara wa mabadiliko nchini

Status
Not open for further replies.
Ulikuwa mpango mkakakati wa Mwendazake kuigeuza nchi ya Kidemokrasia kuwa kama familia yake na watu wote wamuabudu yeye.

Asante Mungu hukuruhusu hilo.
Rasmi alikuwa anaenda kuigeuza Tanzania kuwa North Korea ya Afrika. Nina hakika angetoka madarakani baada ya damu nyingi kumwagika. Tumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
 
Ipo siku mitaala hiyo italetwa na kupitishwa bungeni.ni swala la muda tu
 
Binafsi sina cha kukumbukwa kwa huyo mwana Chato zaidi ya maumivu na mateso! Bora hata nimkumbuke aliyejenga mashule ya sekondari nchi nzima! Aliyejenga lile li Udom na kuwapa ahueni ya maisha raia wake! Viva JK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muache mzee Jpm apumzike...tuongelee yanayotuhusu sisi tuliopo.
Yanayotuhusu ni yapi?.swala la elimu wewe halikuhusu?.Huwezi kuongea jambo jipya wakati kuna la zamani lililoharibika.
 
Reactions: Qwy
Aisee ama kweli jiwe alikua na file Milembe,haiwezekani Kwa mtu mwenye akili timamu kufanya propaganda Kama zile yaani mbona haiji akilini wazeeee

Hivi hata nyie mods mlikua mnamuelewa mtu pori kweli?

Haaaaaa yaani tungefika 2025 tukiwa North Korea ya Afrka mashariki iliyokomaa Kwa udikteta uchwara!
 
Reactions: Qwy
Na Je, akizuiwa kuingia na akalazimisha kuingia mzima mtafanyaje ?

Africa tunajijua tulivyo mabingwa wa kukiuka kanuni na taratibu ndogo tulizojiwekea.

Katiba ngapi za Africa zina ukomo wa madarak, zinaheshimika ?

Kuna kubwa kuliko hilo ?
Acha kuishi kwa historia wakati una uwezo wakutengeneza cha kwako kilicho bora.Watu wote tukiwa na akili kama zako unadhani mabadiliko yatakujaje?.Toka kwenye huo usingizi wakujitakia.
 
Hivi jamaa asingeenda zake ingekuwaje!
 
Nakumbuka yeye alitaka historia ijikite kwenye kuwaenzi Wanahistoria Wazalendo, na historia ya Nchi zaidi kuliko ya huko nje.

Sasa huenda Waandaaji wa hiyo mitaala ndio wakajikita kwenye kujikomba kwa Mkuu.

Nadhani malengo yalikuwa mazuri tu, tumnyonge Mnyonge lakini haki tumpe.
 
Hi character assassination unayoifanya dhidi ya marehemu ambaye hawezi kukujibu si jambo jema.

Magu alikuwa binadamu pia hivyo hawezi kukosa mapungufu.
 
Kwa ambao mna Netflix, angalieni series mpya "How to become a Tyrant". Jamaa alikuwa anafanya kila kitu all dictotors are fond of.
 
Ila huyu marehemu yaani nikisikia jina lake nasisimwa!sijui alikuwa anatutaka nini watanzania??hivi alikuwa ni mtanzania kweli?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…