Mitambo ya IPTL imeibiwa na jengo kubaki Gofu. Iliwekwa rehani na Herbinder Seth

Mitambo ya IPTL imeibiwa na jengo kubaki Gofu. Iliwekwa rehani na Herbinder Seth

Hii habari inahitaji mambo mawili ,Kwanza serikali ikanishe au ithibitishe

Pili ikithibitisha iseme wezi waliwezaje kufanikisha hii Nia mbovu na vifaa aliuziwa Nani wakati mwenye KAZI navifaa vya umeme ni TANESCO pekee?
Nafikiri point siyo kitambo kuibiwa kwa kuwa ni private property. Swali ni je, Tanesco bado wanaendelea kuwalipa....!!
 
Kumkumbuka kwa maovu aliyofanya dhidi ya Watanzania. Kuwaua, kuwabanbikia kesi, kusema uwongo na kuiba fedha na kuziweka China. Kuiba uchaguzi ili awe Rais wa maisha na kutuachia bunge la hovyo
Change hii mentality mkuu!!
Mskaji hakuwahii dhuru watanzania(alikuwa masculine) nyingine ni White propaganda
Mskaji hakuweka na hana pesa China(hizi ni politics milage za [emoji112] PIRA huku akiita watanganyika wa ngorongoro ni primitive!)
AMKA WE NYANGEMA
 
“Magufuli alikua ananyanyasa matajiri” kauli ya wapuuzi hakuna anaetaka kukiri kwamba kuna matajiri wanakula ela ya wananchi kama za kwao vile. Haya tuendelee kumtukana JPM mioyo iridhike
 
Change hii mentality mkuu!!
Mskaji hakuwahii dhuru watanzania(alikuwa masculine) nyingine ni White propaganda
Mskaji hakuweka na hana pesa China(hizi ni politics milage za [emoji112] PIRA huku akiita watanganyika wa ngorongoro ni primitive!)
AMKA WE NYANGEMA
Nani a change mentality? Mwenye akili muache atumie akili yake ila nyie misukule mnaomuabudu Mwendazake you can go to hell as well. Magufuli ameanza kuiba kabla wewe hujajiunga JF. Just shut up your mouth if you think Magufuli was a patriot
 
Kwani Seth anasemaje!
20230311_234206.jpg
 
Nani a change mentality? Mwenye akili muache atumie akili yake ila nyie misukule mnaomuabudu Mwendazake you can go to hell as well. Magufuli ameanza kuiba kabla wewe hujajiunga JF. Just shut up your mouth if you think Magufuli was a patriot
We jamaa mbona una makasiriko sana kila siku?

Are you okay?
 
Usitusumbue tuko kwenye maridhiano😂😂😂😂😂😂
Acha nchi ifunguliwe
 
Back
Top Bottom