Mitambo ya THAAD ishaanza kufanya kazi Israel ,huku Hezbollah wakisema wataanza kushambulia kwa makombola ya kisasa zaidi

Mitambo ya THAAD ishaanza kufanya kazi Israel ,huku Hezbollah wakisema wataanza kushambulia kwa makombola ya kisasa zaidi

py thon

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
2,476
Reaction score
4,448
leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.

Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,

Kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku ikiripotiwa miji 7 Israel vingora vya hatari vinasikika,makombora yasharushwa na yanatarajiwa kurushwa

Tusubiri tuone uwezo wa THAAD
 
leo ndio mtambo wa ulinzi wa anga wa THAAD unaanza kufanya kazi Israel.

Huku kundi la Hezbollah wakijibu kauli ya msemaji wa Idf aliyesema watashambulia benki na mali zinazohusiana na Hezbollah,,kundi la Hezbollah wamesema watarusha makombola ambayo hawajaanza kuyatumia Tel Aviv huku ikiripotiwa miji 7 Israel vingora vya hatari vinasikika,makombora yasharushwa na yanatarajiwa kurushwa


Tusubiri tuone uwezo wa THAAD
Hayo maneno tu wangekua na silaha kali ya kupiga siku zote wasitumie
 
Ndio hapo sasa unajiuliza.

Kiongozi wao kauliwa, na mtarajiwa wa kumrithi kauliwa, pia mtarajiwa wa mtarajiwa wa urithi nae kauliwa. Halafu bado wanasema tutaanza.

Huu ni ujuha kabisa.
Unaua kiongozi watu bdo wako na moto ule ule ,yaani hata Vita ichukue miaka 5 Palestine itakua huru tuh
 
Kabla mwaka ujaisha Israel itakua na wazir mkuu mwingine au UN inafikiria PA kuwapeleka wakimbizi wa Israel
Na safari hii offer ya kukaa Uganda hawapati
Hii ndoto nzuri
 
Hii vita ni ya muda mrefu hivyo hapo wajipange kwa mtanange kwa miaka kadhaa sasa naona hapo mwenye hasara ni Israel kwakua yeye ni taifa itafikia kipindi airport zake hazifanyi kazi hamna mtu kutoka wala kuingia kupigana makundi sio vyepesi US mwenyewe hua analazimika kutengeneza makundi mwenzie ili kupigana kwa niaba yake, yeye ni kutoa pesa tu na vifaa huku ishu zake zikienda
 
Kwakuwa mitambo ya ulinzi ya THAAD imeshafungwa rasmi Israel kwahiyo tunatarajia Hezbollah hawataweza tena kurusha makombora yakapiga Israel.

Pasiwe na visingizio tena baada ya mitambo kufungwa.

Maana kabla ya vita hivi kuanza tuliaminishwa kwamba mitambo ya ulinzi ya Iron dome ni hatari hakuna mtambo wowote ulimwenguni wakulinganisha nao lakini baada ya vita tumejionea Hezbollah akijipigia tu ndani ya Israel hadi nyumba ya Netanyahu inayolindwa kwa ulinzi mkali wa mitambo.

Iran ndiyo anajichagulia pakujipia bila kipingamizi. Hata THAAD ni propaganda tu za mashog,a vyuma vitaendelea kurushwa na kutua ndani ya Israel kama kawa.
 
Na safari hii offer ya kukaa Uganda hawapati
Wakija Uganda, vita ya muafrika sio b-52.

Muafrica anakulombea dada tu.

Imagine nina kitoto chotara cha kiisraeli kinaongea kisukuma, gaa dem!!!
 
Ndio hapo sasa unajiuliza.

Kiongozi wao kauliwa, na mtarajiwa wa kumrithi kauliwa, pia mtarajiwa wa mtarajiwa wa urithi nae kauliwa. Halafu bado wanasema tutaanza.

Huu ni ujuha kabisa.
Naunga mkono hoja ukiona wanakuambia sasa tunaingia new phase ujue Kuna silaha wamepenyezewa kutoka Iran,

Israel bila kumtwanga Iran watakuwa wanacheza tu.
 
Kabla mwaka ujaisha Israel itakua na wazir mkuu mwingine au UN inafikiria PA kuwapeleka wakimbizi wa Israel
Na safari hii offer ya kukaa Uganda hawapati
Wewe juha wa kidini unaota mchana huu?
 
Hii vita ni ya muda mrefu hivyo hapo wajipange kwa mtanange kwa miaka kadhaa sasa naona hapo mwenye hasara ni Israel kwakua yeye ni taifa itafikia kipindi airport zake hazifanyi kazi hamna mtu kutoka wala kuingia kupigana makundi sio vyepesi US mwenyewe hua analazimika kutengeneza makundi mwenzie ili kupigana kwa niaba yake, yeye ni kutoa pesa tu na vifaa huku ishu zake zikienda
Sawa lakini hizo nchi ambazo magaidi wanakaa na zenyewe zitabomolewa zitabaki majivu nyie kobazi mtabaki kulia lia wanawake na watoto ndio chaka lenu la kutafuta huruma ya dunia
 
Hezbullah naona hawajajifunza kupitia Hamas kule Gaza, muda sio mrefu Lebanon itageuzwa kuwa mji wa magofu.
Wajinze nini kwa akili yako bwashee kuvunja majengo ndio ushindi majengo yatajengwa upya utashangaa tangazo la vita uliliona Netanyahu alitangaza live kuwa ni kukomboa mateka bila mazungumzo na kuivunja hamas kafanikiwa lipi apo vita bado wanapigana hamas uku wamefungwa mikono nnjaa lkn mwaka sasa wkt Israel anapokea misaada kila aina bwashee kaa kwakutulia wazungu wanakimbia Israel kwa makundi wengine washaanza kuja kwetu tz kisiwa cha aman jiandae kujichukulia totoz za kizungu usiwe jinga. Pitapita mitaani utaona vizungu vimeongezeka kigamboni zaidi. Kawe mbezi.
 
Ndio hapo sasa unajiuliza.

Kiongozi wao kauliwa, na mtarajiwa wa kumrithi kauliwa, pia mtarajiwa wa mtarajiwa wa urithi nae kauliwa. Halafu bado wanasema tutaanza.

Huu ni ujuha kabisa.
Wako sasa ndio ujuha kwani viongozi wa hizbullah wameanza kuuliwa juzi Jana naleo
 
Back
Top Bottom