Huyu ndie gaidi,walikozikuta mbona zilikuwa nzima tu.Hata shahidi analete maganda ya risasi alizozitumia yeye mahakamani kama ushahidi ya matumuzi ya siraha hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ndie gaidi,walikozikuta mbona zilikuwa nzima tu.Hata shahidi analete maganda ya risasi alizozitumia yeye mahakamani kama ushahidi ya matumuzi ya siraha hiyo
Kufa ili umkumbuke vizuriMtamkumbuka
Mtamkumbuka
Ni mda mfupi sana wa kumaliza hayo maji,, na kama ni kweli basi wameyafungulia yatoke kwa wingi kama walivyokua wakifanya zamani.Kwahiyo yy angeleta mvua??
Siasa za Tanzania zina mazongwe kibao.Magufuli alizima mitambo, Sasa mabwawa yamepungua maji, hivyo italazimika mitambo ya kufua umeme wa Bei ghali ya mafuta mazito kuwashwa rasmi, ili kunusuru mgao huu mkali wa umeme
Kipindi hicho walikuwa wanamsifia kupita kiasiNacheka sio kama hayanigusi lakini ukiwasikiliza ni kama wanamuangushia zigo la lawama Hayati
Sent using Jamii Forums mobile app
Watawala wa CCM huwa wanapenda kumjaribu Mungu sana.Magufuli alizima mitambo, Sasa mabwawa yamepungua maji, hivyo italazimika mitambo ya kufua umeme wa Bei ghali ya mafuta mazito kuwashwa rasmi, ili kunusuru mgao huu mkali wa umeme
Ndio kazi mlio mtuma Kipara?Magufuli alizima mitambo, Sasa mabwawa yamepungua maji, hivyo italazimika mitambo ya kufua umeme wa Bei ghali ya mafuta mazito kuwashwa rasmi, ili kunusuru mgao huu mkali wa umeme
Acha kukariri.Mtamkumbuka
Jibu swali angeleta mvua?? Matusi hayana shule, sana sana yanakufanya uonekane pimbi tuu..Mpuuzi mkubwa ewe kipofu!
Hata kwa akili yako finyu hujiongezi tu kwamba watu wanataka kupiga?!
Waheed mwanaha...
Yaani maneno mengi, kumbe walitaka kufanya haya. Haya mmefanikiwa lakini itawagharimu sana. Mama Samia kuwa macho na washauri wako.Magufuli alizima mitambo, Sasa mabwawa yamepungua maji, hivyo italazimika mitambo ya kufua umeme wa Bei ghali ya mafuta mazito kuwashwa rasmi, ili kunusuru mgao huu mkali wa umeme
Utamkumbuka wewe na mazuzu wenzio!Mtamkumbuka