Serikali ilikata miti zaidi ya milioni 2 kujengwa bwawa la umeme na kila siku tunahimizwa na serikali hiyo hiyo kupanda miti ili kupunguza joto na kuleta mvua[emoji16][emoji16]..kiufupi mradi wa Rufiji ni mradi kichaa na majibu yataonekana tu soon kabla hata haujaanza.View attachment 2015648
Hatutaki Gas,Tunataka Maji,Upepo,Solar! Hivyo vyote ni Vyanzo vya Umeme[emoji3516]