Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

polisi na wanausalama wana hint gani.mbona tumeanza kuwadefend watu fulani ? kama kuna uchunguzi tuusubiri....!
 
Nyie wapumbavu mlitaka kuua Mungu amewaumbua mmekuja kupima upepo huku
Yan Nina matus yamejaa kinywa apa

Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi?? sidhani kama wao wanamjua Magufuli zaidi yetu sisi anayetutawala pia tatizo Watanganyika wengi kwa kufata ushabiki wanashindwa kujua nchi hii inapigana vita gani kwa sasa kwenye vita mbinu zote utumika kwa adui kuweza kugawanya au kukatisha tamaa mm sidhani kama Lissu alikuwa ni threat kuanzia kiuchumi,kijamii au kiusalama namna hyo mm naamini wenzetu wameamua kupigana vita vyingine vita ambayo ni mbaya sana yote ni kumfrustrate na kumchafua kiongozi wetu mbele ya jamii za kistarabu duniani namwonea huruma sana Rais wangu anapambana na watu wenye kila mbinu ikiwamo za kimafia Wacanada kupitia makampuni yao ya Goldcorp,Barrick Gold,Eldorado Gold,Yamana Gold na Kinross Gold ndio wamiliki na wauzaji wa karibu 85% ya dhahabu yote duniani huku
De Beers Group of Company ambao kwa sasa ndio wamiliki wa mgodi wa diamond wao wanamiliki 90% ya soko la Almasi duniani so naona vita tunayopigana sasa ni ngumu kwani siku zote matajiri wakiona fedha imeshindwa kufanya ushawishi au kazi njia pekee wanayotumia ni umafia tu



mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Wacha serkali iendelee kupanda chuki

Nchi ikigeuka km somalia ndo watajua
Kishingo upande, niviongelee vyombo vyetu vya dola. Kwa mtu kama Tundu Lissu ambaye ndiye mkosoaji mkuu wa awamu hii ya tano na ambaye hata kiongozi mkuu amemsema mara kadhaa japo indirectly kuhusiana na masuala ya madini, nilitarajia vimpe ulinzi TL, hata kama sio wa moja kwa moja.

Jaribio la kuuawa kwake ni doa kwa serikali. Iwe inahusika au haihusiki. Leo Lissu angeuawa vyombo vya dola vingekuwa na uhakika gani kwamba wananchi wangekuwa watulivu? Vyombo vya dola vinailinda vip serikali iliyopo madarakani kama haiwezi kuzuia matukio yanayoweza kufanya wananchi wengi waichukie? Vyombo vya dola vinapaswa kumlinda Tundu Lissu hata kama havimpendi.


mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
pre emptying attempt .hakuna zaidi hapa.
 
Hii ndio Tz yangu mm bora afe Tundu Lissu mwenye elimu yake na weledi wa hali ya juu kwenye masuala ya sheria ila abaki Bashite mwenye neg- brain kisa yu karibu na mjomba
 
2961279dc591c91aaa9549603bd09031.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
izzo, ishu tu ya makinikia ambayo bado mazungumzo yanaendelea, na wanaweza kwenda mahakamani na wakashinda, na tukawalipa, ndio isababishe wao waanze kupiga risasi wapinzani?, hayo maoni yako ni aidha ya kupotosha kwa makusudi au ni ya kipuuzi tu.
Mkuu duniani zipo nyaja tatu ambazo zinazoleta migogoro kati ya nchi na nchi au kwa wanadamu pale yanapotokea matatizo au matukio ya uharifu ,mauaji au vita
Kwa level ya nchi ni
1 Political(Siasa)
2 Military (Kijeshi)
3 Economy (Uchumi)

Wakati kwa level ya wanadamu au watu ni
1 Sex(mapenzi)
2 Money(fedha au kipato)
3 Revenge(Kulipiza kisasi)
Je nyanja zote zimeangaliwa? mm naona watu wakiwa busy kumpoint mtu au taasisi kuhusika kitu ambacho kwenye akili yangu akiingii akilini uchunguzi una nyaja 6 za kufata ambazo ni
1 immediate action
2 Plan investigation
3 Data collection
4 Data analysis
5 Corrective actions
6 Reporting
na kwenye tukio lolote kila kitu huwa ni potential je nikisema inawezekana ni mpango wa maadui zetu kutaka kutuchafua mbele ya dunia ya kistarabu kwa nini upinge? mm nakataa kabisa Lissu hajawai kuwa threat kwenye nyaja zote tatu kiuchumi,kijamii wala kiusalama ndani ya Tanganyika
 
Hivi kama serikali ya Magufuri ingemtaka kumuua nadhani wasingekosea. Hizo ni propaganda za kuchafua Rais wetu. Hata wao Chadema wanaweza kufanya hivyo ukiangalia vizuri kifo cha Chacha Wangwe hapana shaka nao chadema hawaaminiki

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingetaka?itake mara ngapi sasa mungu kakataa hakuona umuhimu wa kumpokea lissu so acha mungu aitwe mungu na magufuli wako aitwe ivyo ivyo na uendelee kumtukuza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeingia mtandaoni na ku search Magufuli (Nilitaka nipate picha yake) ila search results zilipokuja ilikuwa ni kuhusu jaribio la kumuua Tundu Lissu na jina lake
Kusema kweli hii imemchafua sana rais japo japo anaweza akawa hahusikiView attachment 583609 View attachment 583608
Acha ushabiki wa kipumbavu. Na hii picha mnayojaribu kuijenga vichwani mwa watu inaichafua jf badala yake. Sasa hao kina Smith, Alain, kitungu.com na Reuters ndio ya kuanzishia thread?. Lengo lako kujaribu kushawishi kuwa rais anashambuliwa nje? Mjinga kweli wewe. Reuters hata wewe unaripoti kama hujui. Acha kupotosha haikusaidii. You have been warned.
 
Nyie wapumbavu mlitaka kuua Mungu amewaumbua mmekuja kupima upepo huku
Yan Nina matus yamejaa kinywa apa





mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Punguza jazba kiongozi kunywa maji then relax pia si vizuri kupoint mtu ambae huna uhakika
Katika Watanganyika wapuuzi nadhani huyu dada anaweza kushika namba moja unawezaje kumshutumu mtu moja kwa moja namna hii wakati ww si mahakama ,Police wala huna unachokijua kuhusu investigation
 
Wewe unadhani hawa wapiga dili wenye nywele za midoli waliojificha kwenye kichaka chenye jina la wafadhili na wawekezaji wataandika vipi?? sidhani kama wao wanamjua Magufuli zaidi yetu sisi anayetutawala pia tatizo Watanganyika wengi kwa kufata ushabiki wanashindwa kujua nchi hii inapigana vita gani kwa sasa kwenye vita mbinu zote utumika kwa adui kuweza kugawanya au kukatisha tamaa mm sidhani kama Lissu alikuwa ni threat kuanzia kiuchumi,kijamii au kiusalama namna hyo mm naamini wenzetu wameamua kupigana vita vyingine vita ambayo ni mbaya sana yote ni kumfrustrate na kumchafua kiongozi wetu mbele ya jamii za kistarabu duniani namwonea huruma sana Rais wangu anapambana na watu wenye kila mbinu ikiwamo za kimafia Wacanada kupitia makampuni yao ya Goldcorp,Barrick Gold,Eldorado Gold,Yamana Gold na Kinross Gold ndio wamiliki na wauzaji wa karibu 85% ya dhahabu yote duniani huku
De Beers Group of Company ambao kwa sasa ndio wamiliki wa mgodi wa diamond wao wanamiliki 90% ya soko la Almasi duniani so naona vita tunayopigana sasa ni ngumu kwani siku zote matajiri wakiona fedha imeshindwa kufanya ushawishi au kazi njia pekee wanayotumia ni umafia tu
Mpiga deal ni nani..
Watu wanazungumzia attack ya Lissu we unaleta habar za ma deal. .
Mlioajiriwa serikalini mnajiikuuta mnauchungu na nchi..
Shame on you[emoji111]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani raisi akitaka kumuua huyo inashindikana???
Mbona atakufa kama kuku
Huyo anadhuliwa na wapiga dili wenzake walio mafichoni
 
Kama watu waliimba wana Imani na Lowassa akasema yeye angekua Jakaya mrisho kikwete angewapoteza wote huyo mtu simwamini hata kidogo Mtu anatama angekua IGP avunje watu miguu huyu mtu ana matatizo sana kwenye kauli zake hata kama anaweza asiwe anahusika lakini kauli zake ni hatari Washughulikie Bungeni mimi nitawashughulikia huku nje
 
hiyoo ni mipango ya ACCACIA kumchafua rais si mlisema kuna mjeshi kutoka majuu aliyeshindakana dunia nzima..kashuka bongo hii ndio kazi yake maana sasa wananchi wote wa tanzania wanaanza kumulaani magufuli na badala watu warudi kwenye issue ya ACCACIA wanaanza kuwaza shambulio la lissu hebu fikiria kama serikali ya jpm ingeamua kumua lissu mbona ingemuua siku nyingi....iweje leo wakati lipoti ya almasi inatoka...mfikirie saana kwa makini....only smart people will understand this

bado tuko hai tatizo ajira
Even magufuri and his state machineries their not smart how could they fail to provide Lissu with security...???

Vyombo gani vya ulinzi visijue kuna kitu kitafanyika potelea mbali ata km alikuwa anawindwa na ACACIAS why serikali ishindwe kumpa ulinzi??
 
CIA,Mossad,British MI6,wapo kazini,hii ni kupakana matope tu,tumewashika pabaya,
Tutawatia adabu,kama kipindi kile cha vita kusini mwa Africa,hapa inabidi tukae sawa,sana sana kule kusini mwa nchi,kwenye ziwa letu Nyasa,wengine wanaita ziwa Malawi,hawa washenzi hawasiti hata kuleta mamluki
Nyerere, mandela, Nkrumah, kenyatta senior hawakuwa na akili za VIAZIMBATATA km hawa marais wetu siku hizi wa Africa badal watuunganishe wanatutawanya eti..!

Poor African leadership!
 
Back
Top Bottom