Uchaguzi 2020 Mitandao ya Airtel na Vodacom ukituma SMS “Tundu Lissu” au “John Magufuli” haiendi

CCM baada ya miaka 59 ya uhuru wa Tanganyika ndiyo imefika mwisho wa safari yake. Mungu ameikataa, wananchi hawaitaki na hata Ibilisi mwenyewe amekaa mbali nayo. Isipokuwa wamebaki wanafiki wachache ambao bado wanajishebedua tu kutoka na kutaka kulinda maslahi yao binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…