Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuwa Hivyo. JF tumewaokoa Chadema.
Unalala masaa mengi sana.
Nilichoandika kinahusiana nini na kulala masaa mengi?Unalala masaa mengi sana.
Acha utoto pimbi wewe.. Usijifanye unawajua sana watu kwa kukutana nao mitandaoni tena wakiwa na id fake.. We kama unaishi kwa shemeji yako usidhani ni kila mtu. Huenda nina maisha ya kuweza kukulea wewe na dada yako kwa jinsi unavoshinda unawalalamikia serikali. Ni ishara kwamba umesha feli life so unahitaji back up, ila usijali tupo wanaume wakubeba majukumu ya kuwalea watoto wazuri kama nyieMjinga mkubwa ww, kelele zimekuwa nyingi ikabidi waondoe hiyo hujuma, ww unaamka kwa shemeji saa hii ndio unaona asubuhi.
Naona CCM masirahi kazini umesahau kuweka na kadi ya usalama wa Taifa maana ndo kazi yenu kwa Sasa kutisha na kufokea watu.Acha utoto pimbi wewe.. Usijifanye unawajua sana watu kwa kukutana nao mitandaoni tena wakiwa na id fake.. We kama unaishi kwa shemeji yako usidhani ni kila mtu. Huenda nina maisha ya kuweza kukulea wewe na dada yako kwa jinsi unavoshinda unawalalamikia serikali. Ni ishara kwamba umesha feli life so unahitaji back up, ila usijali tupo wanaume wakubeba majukumu ya kuwalea watoto wazuri kama nyie
Hakuna neno masaa kwenye Kiswahili. Msiharibu lugha. Neno sahihi ni saa....Unalala masaa mengi sana.
Kachukue chanjo ya kansa ya shingo ya kizazi ndo urudi tuongeeNaona CCM masirahi kazini umesahau kuweka na kadi ya usalama wa Taifa maana ndo kazi yenu kwa Sasa kutisha na kufokea watu.View attachment 1610831
angalia huyu nzi wa kijani kakunja hadi mishipa ya marinda kubisha ukweliHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
povu kama hili ndo maana halisi ya stress ya kufeli maisha🤣Acha utoto pimbi wewe.. Usijifanye unawajua sana watu kwa kukutana nao mitandaoni tena wakiwa na id fake.. We kama unaishi kwa shemeji yako usidhani ni kila mtu. Huenda nina maisha ya kuweza kukulea wewe na dada yako kwa jinsi unavoshinda unawalalamikia serikali. Ni ishara kwamba umesha feli life so unahitaji back up, ila usijali tupo wanaume wakubeba majukumu ya kuwalea watoto wazuri kama nyie
Mbona na magufuli nayo imegoma ila baada ya kuweka vocha kutuma "sawa" imekubaliJiridhishe nawe ndugu yangu usiwafokee tu watu bila kujiridhihaView attachment 1610231
Bado hujapanick, utapanick sana safari hii. Imeisha hiyo.Acha utoto pimbi wewe.. Usijifanye unawajua sana watu kwa kukutana nao mitandaoni tena wakiwa na id fake.. We kama unaishi kwa shemeji yako usidhani ni kila mtu. Huenda nina maisha ya kuweza kukulea wewe na dada yako kwa jinsi unavoshinda unawalalamikia serikali. Ni ishara kwamba umesha feli life so unahitaji back up, ila usijali tupo wanaume wakubeba majukumu ya kuwalea watoto wazuri kama nyie