mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sasa kama majina yote ya wagombea haya endi
Kuna shida gani tena,watu Wakapige kura
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama majina yote ya wagombea haya endi
Usifikili wote wajinga humu kama ninyi! Kuna uthibitisho gani message haziend?,, Kam mtu hana salio! Msitake kulazimisha propaganda za kijinga!
Hii ni popoma, uto, yaan hunajina halisiHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Jaribu kutuma. Sio kukurupuka tu no research no right to speak shubamiitHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Tundu Lissu.hiyo vipi?Wadau nini kimetokea?
Ukijaribu tuma ujumbe mfupi wenye maneno Tundu Lissu au John Magufuli hauendi ila jumbe nyingine zinaenda....
Jaribu kwa Airtel, Vodacom
View attachment 1610197
We ndio mjinga unabisha kitu cha kweliHuo ni uzushi na upumbavu wa kiwango cha lami! Unataka kutuaminisha nini? , hakuna na hakiwezi kutokea kitu kama hicho! Bado kuna watu mmejaa ujinga sana humu!.
Wanatakiwa waje kuomba radhi kwa upuuzi wametufanyiaWamesharekebisha! Kila kitu kiko shwari sasa!
IMEOMBA RADHI KULIKUWA NA TATIZO KATIKA SIJUI SEVA VILE AU NINI LAKINI WAMEOMBA RADUA NA HUU NDIO UZALENDO
Chadema huu utoto unawashushia hadhi kama chama mbadala wa kilichoko madarakani.. Pigeni sarakasi zote ila mkae mkijua watanzania wana akili na wanauona utoto mnaoufanya. Pambaneni, tangazeni sera zenu raia wawaelewe hizi sanaa za kitoto haziwafikishi popoteView attachment 1610640