Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww jamaa kweli nije karikoo nowMbona hapa kariakoo inapatikana kwa speed ya 7G.
Mbona vyote vinafanya Nazi vizuri. Think BigHata WhatsApp imekata.
Nusu nitupe lain ya halotel kumbe kigogo is real "watazma mitandao"Natumia Halotel now nusu saa sasa mimi pia haifunguki
Sorry Nazi = KaziMbona vyote vinafanya Nazi vizuri. Think Big
Hadi wewe?Yaani kwa hili kesho namchinja mtu naenda nikishangilia kama kada vile ila nna langu moyoni
kwa nini wasitangaze sasa huo Msiba wa mama wa kiongozi wenu. Tofauti yake ni nini?Mtandao gani unaotaka wakat unapayukia hapa hapa.. Subiri tupo na maandalizi ya kumuapisha Magu na pia kutangaza msiba wa Mama wa kiongozi wetu
Usisikilize propaganda mitandao ipo kama kawaida ndiyo maana upo live JF.Ww jamaa kweli nije karikoo now
yaan nmemind kwakweli nakuja kkoo kuisntall VPN tu afu narudi Moro kumchinja uyu jamaa nliacha kupiga kura lkn kanipandisha hasira sana
Watu kama Mwigulu Nchemba, Kigwngala ndio wana akili kama ya magufuli hii hii hawafai kupewa uongozi ni watu wana roho mbaya sana ya mauwaji, wakome na walegee kwa jina la yesuNajiuliza sipati jibu.
Ni jambo jipya ambalo halijapata kuwepo nchini tangu mitandao hii ianze.
Ndivyo tunavyotakiwa kulinda amani yetu, umoja wetu na Taifa letu?
Hofu yetu kubwa ni nini hasa juu ya mitandao hii?
Huyu wala sio dikteta. Hana hizo sifa za dikteta.Hivi unaelewa maana ya dictetor?
Kwangu yote ni Secure Connection Failed. Hadi Youtube!Mbona vyote vinafanya Nazi vizuri. Think Big
Hakuna dikteta yeyeto anaeachia madaraka
Unawaza kama mimi.nilipanga nimpe,simpi kura yangu.Kwa kuzima tu mitandao nilipanga kumpigia kura Sasa rasmi dakika za mwisho nimebadilisha maamuzi
Mkuu hadi wewe umerejea 😊 karibu tena bossNajiuliza sipati jibu.
Ni jambo jipya ambalo halijapata kuwepo nchini tangu mitandao hii ianze.
Ndivyo tunavyotakiwa kulinda amani yetu, umoja wetu na Taifa letu?
Hofu yetu kubwa ni nini hasa juu ya mitandao hii?