Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Kesho lazima mkurugenzi TCRA apigwe chini. Magufuli huwa hapendi upuuzi
 
Huu ujinga wako ungeuandikia wapi, kama na JF kama na Jf ingefanikiwa kuzimwa?. Nyie ccm hamnaga akili, mnawaza teuzi.
Mbaka sasa hakuna uchochezi humu
Tunapiga story za kizee tunaelewana
Kama unayo picha au clip yeyote ya uchochezi tupia humu alafu uone hao TCRA kama watatuacha salama
Nchi kwanza mihemko baada ya zoezi kupita
Leo wapenda kick, uchochezi, umbea, udaku Ban kama lote
Tunaongea lugha 1 tu ya kizee
 
Mbaka sasa hakuna uchochezi humu
Tunapiga story za kizee tunaelewana
Kama unayo picha au clip yeyote ya uchochezi tupia humu alafu uone hao TCRA kama watatuacha salama
Nchi kwanza mihemko baada ya zoezi kupita
Leo wapenda kick, uchochezi, umbea, udaku Ban kama lote
Tunaongea lugha 1 tu ya kizee
Utakuwa umejiunga JF jana.
 
Acha wehu wewe whatsap/twiter/telegram zimezimwa Tanzania nzima na imetangazwa sasa unaropoka nini hapa ?
Jamii. Forum ni ya Great Thinkers sio kama wewe ambae unalalamika tu. Tafuta ufumbuzi wa tatizo sio kulalamika. Think Big. Mimi nipo hewani social media zote zinafanya kama kawaida.
 
Upuuzi wa kingese
Najiuliza sipati jibu.
Ni jambo jipya ambalo halijapata kuwepo nchini tangu mitandao hii ianze.
Ndivyo tunavyotakiwa kulinda amani yetu, umoja wetu na Taifa letu?
Hofu yetu kubwa ni nini hasa juu ya mitandao hii?
 
Download SUPERVPN halafu connect, unatudi hewani kwenye mitandao yote waliyoifungia, ni rahisi na faster

Kwa hili la kufungia mitandao ya kijamii, imenikera sana.
 
Sawa ungekuwa umejiunga miaka 100 iliyopita wala usinge angaika kuandika utumbo taarifa zote za members zimo humu nenda kapekue utanikuta
Haya washaurini wazime upande wa ACT&CDM ili nyie ambao mnaadika ya maana muendelee kuandika.
 
Back
Top Bottom