Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Uchaguzi 2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

Matusi, lugha zisizo za staha na vurugu ndiyo primary capital ya wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema)! Uwezo wa kujenga hoja ni zero.

Nimetuma WhatsApp message na kujibiwa hiyo message less than one hour ago. Aliyejibu message yangu na mimi mwenyewe tumewezaje kuwasiliana tukiwa offline?

Kuwa mkweli ndugu yan watu tunateseka na mtandao haufanyi Kazi kwenye social network ww unaleta abari za uwongo

Usipende kutetea ujinga
 
leo kigogo anapost na kusoma mwenyewe huko twitter [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Thanks
Reactions: T11
Matusi, lugha zisizo za staha na vurugu ndiyo primary capital ya wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema)! Uwezo wa kujenga hoja ni zero.

Nimetuma WhatsApp message na kujibiwa hiyo message less than one hour ago. Aliyejibu message yangu na mimi mwenyewe tumewezaje kuwasiliana tukiwa offline?
Acha upimbi, weka screenshot hapa.
 
Njia ni kama ifuatavyo

Kitu cha kwanza jaribu kuingia google kupitia opera au chrome au uc mini au nyingijnezo yaani jaribu kuingia google kupitia hizo njia google ikifunguka tu yaani hakikisha google search inafunguka google ikifunguka kati ya hizo fuata hatua ya 2

Hatua hiyo ni kudownload vpn kwa google unadownload kupitia google kwa sababu playstore au appstore pashafeli download huko kwenye google kisha ukishadownload install

Pia usisahau kuallow installation from unknown sources

Kila la kheri!

kwa sisi tunaotumia iPhone je ?
 
Kuwa mkweli ndugu yan watu tunateseka na mtandao haufanyi Kazi kwenye social network ww unaleta abari za uwongo

Usipende kutetea ujinga

Sitetei mtu hapa. Nipe jibu la swali nililouliza ili nielewe kinachoendelea!
 
Nchi yetu Tanzania haijawahi kuzima internet kwa sababu zozote zile hasa za kisiasa

Leo hii nchi yetu pendwa ,Watanzania wetu wajinga,wapole kuanzia CCM,CHADEMA na vyama vingine wanaipata joto la jiwe baada ya kupunguziwa speed ya internet na kufanya mitandao yote ya kijamii isifunguke ambayo kwa 100% inatuma habari za Magufuli rais mtawala juu ya udhalimu wake anaoufanya

Watanzania wamepunguziwa Kasi ya internet kama si kuzimiwa kabisa na hii yote ni shinikizo la CCM kwa kumuogopa Tundu Lissu

Magufuli hafai na kesho tarehe 28/10/2020 tumkatae
 
I wonder huwa wanawalipa shingapi ili muwe misukule!

Seems like a huge package!

Mpaka unakuwa ndondocha namna hiyo, sidhani kama ni ujira kidogo!

You completely veered off the road. Ignoring you is probably the most appropriate move!
 
Siwaelewi mbona hapa kariakoo Twitter,insta,Whatsup,Darhotwire,Telegram,Facebook,mpaka JF nazipata kwa speed isiyo ya kawaida.
 
Back
Top Bottom