Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Bila shaka kiongozi mpya wa malaika amesha fanya yake huko mbinguni!
Mungu akusamehe 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka kiongozi mpya wa malaika amesha fanya yake huko mbinguni!
Kwa sasa angalau hali yake si mbay[emoji3]Inapumulia kwa pipe ..au imekata moto kabisa?
Nipo Arusha, WhatsApp ilikorofisha..Mbona huku Arusha ipo Safi mkuu
Sasa ni panga pangua inaendela huko Nani kwenye zamu ya kupata mvua na juwa pengine Kenya waka kubwa na kiangazi maana wazingua kwenye mahindi juzi kati!Mungu akusamehe 😂😂😂
Facebook, na makampuni ya western yanaruhusu construction criticism, sis watumiaji ndo tunawafanya hayo makumpuni yawe na ukwasi mkubwaEti wanazingua sana[emoji28][emoji28][emoji28]
Si, tengeneza yakwako mzee
Kabisa yani ... Tz hatua tuliyogikia sasa ukilalamika wewe sio mzalendo..Facebook, na makampuni ya western yanaruhusu construction criticism, sis watumiaji ndo tunawafanya hayo makumpuni yawe na ukwasi mkubwa
Tatizo la watanzania hatuamini kwenye good customer service, ndo maana mteja akalalamika kidogo anajibiwa hovyo, acha uzwazwa
Kabla hujaanza kubweka lazima ujiulize kitu kimoja "hii fault" inatokea mara kwa mara au laa! Those guys have been offering an amazing services for years now!Facebook, na makampuni ya western yanaruhusu construction criticism, sis watumiaji ndo tunawafanya hayo makumpuni yawe na ukwasi mkubwa
Tatizo la watanzania hatuamini kwenye good customer service, ndo maana mteja akalalamika kidogo anajibiwa hovyo, acha uzwazwa
Huku nilipo haijawahi kusumbua mkuu! Nipo MurietiNipo Arusha, WhatsApp ilikorofisha..
Basi huko ni sayari nyingine,au inawezekana huo muda haukuwa unatumia WhatsAppHuku nilipo haijawahi kusumbua mkuu! Nipo Murieti
Hahaaaaa,,, may be [emoji16][emoji16]Basi huko ni sayari nyingine,au inawezekana huo muda haukuwa unatumia WhatsApp
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Malalamiko lazima sis ni wateja wao na tunatumia gharama ambazo zinawafaidisha wao, pasipo sisi wateja wao sio chochoteKabla hujaanza kubweka lazima ujiulize kitu kimoja "hii fault" inatokea mara kwa mara au laa! Those guys have been offering an amazing services for years now!
So, kutokea kwa emergency katika operations ni kitu cha Kawaida mno na lazima tulielewe hilo!
Tatizo letu tunapenda sana kulalamika na pengine ukiulizwa solutions huna!
Kwani CCM wanasemaje?Hapa ndio umuhimu wa katiba mpya unapoonekana tungekuwa na katiba mpya yasingetokea haya au mnasemaje chadema