Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,775
- 3,593
Fb ilikuwa hewani ila whatsapp haishuii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kudanganyana nyie wa tzKanuni/Sheria za Wizara ya Mambo ya Ndani
Kuanzia kesho na kuendelea kutakuwa na kuna kanuni mpya za mawasiliano.
Simu zote zinarikodiwa.
Simu zote zinazorikodiwa zinahifadhiwa.
Whatsapp inafuatiliwa.
Twitter inafuatiliwa.
Facebook inafuatiliwa.
Vyombo vyote vya habari vya kijamii na vikao vinafuatiliwa
Waambie wale wasiojua.
Vifaa vyako vinaunganishwa na mifumo ya huduma ya wizara.
Jihadharini kutuma ujumbe usiohitajika.
Wajulishe watoto wako, jamaa na marafiki zako kuhusu jambo hili ili wawe waangalifu.
Usitume machapisho au video yoyote n.k unayoipokea kuhusu siasa / hali ya sasa kuhusu Serikali / PM nk.
Polisi wameweka taarifa inayojulikana .. Uhalifu wa Cyber ... na hatua itachukuliwa ... futa tu ...
No ngojaZimekata
Wamekata kwa mafungutwitter ipo
Duu..inawezekana kwenye shida ni huko.Huku wamekata kila kitu. Wametuachia kupiga simu na kutuma meseji tu
Tangu saa mbili na nusu hamna huduma kwa upande wanguJf mbona inafanya kazi ...shida ni kampuni ya mark zuckerberg
Ndio wapi huko tena!Xvideos naona ipo fresh so tatizo ni dogo
MmmmhhHuku wamekata kila kitu. Wametuachia kupiga simu na kutuma meseji tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hukuangalia na bando?
Na sms zinaingia tu hapa wazeeView attachment 1729594