Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona izo ista na whatsup kwangu zipo fresh tu kila kitu sawa
Tupeane updates...
Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee'
=====
Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram yatoweka hewani muda huu.
Mtandao wa Facebook ambao ndio mmiliki wa mitandao hiyo hawajatoa taarifa yoyote kwa wateja wao mpaka sasa.
Acha lawama zisizo na mpangoKuomboleza kwa lazima... Nchii hii... Na kosa lile tamko watu wangekula bata
Mnakoment upumbavu haraka haraka bila utafiti ili muwahi kuonekane wajanjaKuomboleza kwa lazima... Nchii hii... Na kosa lile tamko watu wangekula bata
Na sms zinaingia tu hapa wazeeView attachment 1729594
Kwangu ipo freshYoutube kwangu hafabyi kazi toka mchana, vipi huko kwenu??
Inapiga kazi fureshi tuYoutube kwangu hafabyi kazi toka mchana, vipi huko kwenu??
Tunamlalamikia nani hapo sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ye si mteja wacha alalamike na kwa hivi hawakutoa taarifa
Ahahahaha daaah wewe jamaa umifanya nicheke sanaXvideos naona ipo fresh so tatizo ni dogo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] now naendelea fresh mkuu!!! Mchango nimetoa leo, sms za mke zipo chini huwa atuchat mara kwa maraUmeshatoa hela ya mchango? Wa harusi ya dietRich? Pia huna mpenzi? Mbona hamna msg ya mpenzi wako au ye yana smartphone..... Asubuh ulikuwa unaumwa, vipi sasa waendeleaje? Au ulimdanganya Amanda [emoji3]