Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamsingizia msoga bure, huyu wakudemka ana matatizo sanaTatizo ni msoga.
Anademka na chanjo tu? Maana yeye anademka na chanjo tu kwa kwenda mbele 🤷🏽♂️Mnamsingizia msoga bure, huyu wakudemka ana matatizo sana
Sijui hata kama ana dira yoyote ya kulipeleka taifa popoteAnademka na chanjo tu? Maana yeye anademka na chanjo tu kwa kwenda mbele [emoji2375]
Hivi yule jamaa bado yupo huko wizarani si nilisikia amekuwa replaced?!Sasa kama yule mbwiga Mwigulu ndio mshauri wake mkuu wa maswala ya uchumi , unategemea nini Gavana naye ndiokabisaaaaa analewa mpaka anakunya kwenye nguo mnategemea nini kwenye nchi ya namna hii, labda Yesu arudi tena ndio kutakuwa na mabadiliko yoyote, Mama amefeli mapemaaaaa
Tunaishi kama misukule kwasasa.... Tangu mzee baba apate pumziko la milele.... Tumekuwa kama mbuzi tunaosubiri kuchinjwa siku ya tambiko.... It's horrible.Unajua hii haijakaa sawa kabisa na sio nzuri kibiashara. Haya ndio madhara ya kuchanganya siasa chafu za chama kisichojitambua uelekeo wake kiutendaji na shughuli serious za kiuchumi. View attachment 1893695
Msoga anatupa tabu wenzie....Tatizo ni msoga.