Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Walalamikaji wapo wengi.

Ni saa sita tu hapa computer zitaongea na sim card zetu
 
Nani akupunguzie? Kama wameongeza kwenye makato ya miamala ya simu sasa itakuwa kwenye vifurushi?
Zamani ukinunua bando hata la 500 unapewa dk, sms na mb lkn sasa ukinunulia bando lolote lazima uwe na bando la sms
Tujiandae huko mbeleni lazima ununue Bando la dk peke yake SMS na Data
Maybe wanatupunguzia Bei tupumue kidogo.
 
Tatizo kubwa la sisi waTZ na hasa viongozi wanaowakilisha wananchi hawajui nini ya kufanya kwenye nafasi zao. Kuanzia kiranja mkuu.
Siasa zimezidi mawazo ya kunena maendeleo ya waliowapa nafasi kama vile shule bora, maji safi tiririka, Hospitali zenye dhifa, barabara na miundo mbinu safi.
Kila mmoja kwa nafasi yake na mahali anapowakilisha tungeshakuwa na walau asilimia 75 ya ubora!.
Hapa majuzi zimetolewa Tsh mil Mia 5 kila mbunge na jimbo lake.
Kesho wanarudi bungeni wananchi tuwadai fesha hizo zimefanya nini na spika utuletee maelezo kila mbunge ataje alichofanyia akishirikiana na tarura. Inashangaa sana barabara zilivyo. Mashule ya msingi yanasikitisha!
Siasa siasa kila kukicha!!!.
Mifumo iliyopo ni ya kipumbavu kabisa mimi sioni kama itafungua njia in the near future......
 
Hahah, Msoga si nilimuona na Billgates yule mpiga debe wa chanjo mkuu duniani, au siyo yeye yule?
Issue ya chanjo wadau wameupiga mpunga mwingi sana nyuma ya pazia. Unajua ile hasira kwa magu kukataa kutangaza upwepo wa coronavirus na kuwaprove wrong ilikuwa inawaharibia ulaji.

Now bi mdash kawatengenezea ulaji tena so wanafurahia mbwa hawa hela za laana hizo zitawatafuna vizazi na vizazi nyoko hawa.
 
hata msukule ukimfungia muda mrefu ndani afu siku ujichanganye uingie bandani haaa lazma upate mimba tena ya mapacha,iko siku ambayo haina tarehe watanzania wataamka tu yan,it's a matter of time tu
Soon watu watafanya mambo. Sababu i see the worst days kwa vijana wa sasa watapofika retirement age 15 to 30 years from now.....
 
Wa tz wengi wameanza kususia bidhaa baada ya mfumuko wa bei hata pombe wamepunguza kunywa, huku coca na peps take away ikiwa imepanda bei baadhi ya maeneo pia imesusiwa
Matumiza ya Mpesa kutuma pesa na kutoa yameanguka sana watu wameacha kufanya miamala
Kwahiyo tumesitisha hl la muda wa maongez maana wa tz hawachelewi kurud enz za kutuma barua
Ufala ni mwingi sana. Unajua huu upumbavu wanafanya in the few years to come watu wanatakosa pa kushika.

Sasa hebu jiulize hatima ya graduates wa vyuo wasio na ajira wala maisha ya kueleweka.
 
Watu humu ndani ni wapumbavu wengi Sana, Serikali inapitia upya tozo na vifurushi Ili kupunguza gharama tofauti na ambavyo walipitisha awali ila majitu Kazi kupayuka,kutukana.

Kwanza ningekuwa mimi ndio Rais nisingesitisha kitu maana Magu wakali haya malalamishi yanapayuka mtaani kugumu jibu lilikuwa piga Kazi upate pesa,na Kazi utapiga na pesa huioni.

Sasa hapa serikali inasikiliza Hawa kenge hata kodi hawalipi,aisee ningekuwa kwenye maamuzi hakuna kitu ningepunguza jibu langu lingekuwa moja tuu tuulizane pesa au matokeo ya pesa.
 
Nani akupunguzie? Kama wameongeza kwenye makato ya miamala ya simu sasa itakuwa kwenye vifurushi?
Zamani ukinunua bando hata la 500 unapewa dk, sms na mb lkn sasa ukinunulia bando lolote lazima uwe na bando la sms
Tujiandae huko mbeleni lazima ununue Bando la dk peke yake SMS na Data
Tunarudi nyuma kama kipindi kile unaweka elfu tano unaongea kwa sekunde shilling tano. Sms unalipia 50 kwa moja.
 
Watu humu ndani ni wapumbavu wengi Sana, Serikali inapitia upya tozo na vifurushi Ili kupunguza gharama tofauti na ambavyo walipitisha awali ila majitu Kazi kupayuka,kutukana.

Kwanza ningekuwa mimi ndio Rais nisingesitisha kitu maana Magu wakali haya malalamishi yanapayuka mtaani kugumu jibu lilikuwa piga Kazi upate pesa,na Kazi utapiga na pesa huioni.

Sasa hapa serikali inasikiliza Hawa kenge hata kodi hawalipi,aisee ningekuwa kwenye maamuzi hakuna kitu ningepunguza jibu langu lingekuwa moja tuu tuulizane pesa au matokeo ya pesa.
Hivi nikuulize. Ni nani alipandisha hizo bei na gharama ambazo raia wanalalamika?!

Si ni serikali?!
 
Kwa hii serikali inayoongozwa na CCM tena mwanamke?
Nimeangalia season nyingi sana ya mabadiliko ya vifurushi tangu kipindi kile natumia free internet ya Airtel kuanzia saa 6 usiku mpaka saa 6 asubuhi.
Usitegemee unafuu wa vifurushi kwa sasa. Nilikuwa natumia sana Tigo lkn tangia mwaka juzi nimeiweka kwenye droo.
Tunarudi nyuma kama kipindi kile unaweka elfu tano unaongea kwa sekunde shilling tano. Sms unalipia 50 kwa moja.
 
Back
Top Bottom