Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Mitandao ya simu imesitisha mabadiliko ya bei za Vifurushi

Unajua hii haijakaa sawa kabisa na sio nzuri kibiashara. Haya ndio madhara ya kuchanganya siasa chafu za chama kisichojitambua uelekeo wake kiutendaji na shughuli serious za kiuchumi. View attachment 1893695
Walalamikaji wapo wengi.

 
Tatizo kubwa la sisi waTZ na hasa viongozi wanaowakilisha wananchi hawajui nini ya kufanya kwenye nafasi zao. Kuanzia kiranja mkuu.

Siasa zimezidi mawazo ya kunena maendeleo ya waliowapa nafasi kama vile shule bora, maji safi tiririka, Hospitali zenye dhifa, barabara na miundo mbinu safi.

Kila mmoja kwa nafasi yake na mahali anapowakilisha tungeshakuwa na walau asilimia 75 ya ubora!.

Hapa majuzi zimetolewa Tsh mil Mia 5 kila mbunge na jimbo lake.

Kesho wanarudi bungeni wananchi tuwadai fesha hizo zimefanya nini na spika utuletee maelezo kila mbunge ataje alichofanyia akishirikiana na tarura. Inashangaa sana barabara zilivyo. Mashule ya msingi yanasikitisha

Siasa siasa kila kukicha!!!.
 
Sasa kama yule mbwiga Mwigulu ndio mshauri wake mkuu wa maswala ya uchumi , unategemea nini Gavana naye ndiokabisaaaaa analewa mpaka anakunya kwenye nguo mnategemea nini kwenye nchi ya namna hii, labda Yesu arudi tena ndio kutakuwa na mabadiliko yoyote, Mama amefeli mapemaaaaa
Huyo Gavana si ndio anatakiwa akamtetee Sabaya?
 
Psychology inasema kwamba wanawake wana roho mbaya/ngumu kuliko wanaume.
Bora ukutane na Sadist wanaume watano kuliko sadist mwanamke mmoja.
Hiyo inasababishwa kwakua mwanamke yupo kama Transistor..
Kitu akiamua kukifanya mwanamke kwa akili zake zote anakifanya kwa asilimia 500000%
Don't understimate the mind of Woman
Ndo mana tuliambiwa tuishi nao kwa akili
kwanini wasingekuwa na dunia yao hawa viumbe waendeshane wenyewe aah wanachosha sana
Bob marley aliimba NO WOMAN NO CRY
 
Wa tz wengi wameanza kususia bidhaa baada ya mfumuko wa bei hata pombe wamepunguza kunywa, huku coca na peps take away ikiwa imepanda bei baadhi ya maeneo pia imesusiwa
Matumiza ya Mpesa kutuma pesa na kutoa yameanguka sana watu wameacha kufanya miamala
Kwahiyo tumesitisha hl la muda wa maongez maana wa tz hawachelewi kurud enz za kutuma barua
 
Ndugu mteja, tumesitisha mabadiliko ya vifurushi yaliyotarajiwa kufanyika tar.16/08/2021 mpaka utakapojulishwa tena. Asante!
 
Tunaishi kama misukule kwasasa.... Tangu mzee baba apate pumziko la milele.... Tumekuwa kama mbuzi tunaosubiri kuchinjwa siku ya tambiko.... It's horrible... Huku mfuko wa mbolea wa DAP uliokuwa ukinunuliwa 55,000/= sasa hivi ni 105,000/=..... Halaf bei ya mahindi kwa debe 3,000/= hadi 5,000/= hali ni mbaya sana..... Tunakoelekea tunaenda kuwa watumwa wakubwa ndani ya nchi yetu....
Viazi haviuziki bei ni ya kukandamiza sana
Urea ni bei gani?!
 
Psychology inasema kwamba wanawake wana roho mbaya/ngumu kuliko wanaume.
Bora ukutane na Sadist wanaume watano kuliko sadist mwanamke mmoja.
Hiyo inasababishwa kwakua mwanamke yupo kama Transistor..
Kitu akiamua kukifanya mwanamke kwa akili zake zote anakifanya kwa asilimia 500000%
Don't understimate the mind of Woman
Ila kama huyu sidhani kama ana elements za kuwa sadist. Me nahisi watu wanaomzunguka ni vilaza na pia yeye hana maamuzi sababu it takes more than kuwa mwanasiasa wa chama kuwa raisi. Kuna Extra brain inahitajika katika kuwazua.

Sasa unataka nambia mtu anakosaje maono ya impact ya kupandisha kodi za mafuta, na huduma za mawasiliano in the long run?!
 
Back
Top Bottom